Kuna watu wameshusha injini mpaka anaona, dah!!
Nizae hata huyu mmoja bhana!!
Usifumbwe akili na hiyo idea.
Na kuna wengine wakishazaa huyo mmoja wa "bahati mbaya" kinachofuata ni kuchoropoa zote zitakazoingia baada ya hapo.
Wewe ukija kuvaa mkenge kwa kujidanganya sijui upendo, sijui ana uhakika wa fertility, unaishia kupiga wash out tu kumbe kizazi walishamaliza wenzio.
Jamaa yangu mmoja ameoa single mother, huu ni mwaka wa sita hawana mtoto zaidi ya huyo wa mkewe alioleta. Anajuta.
 
Mkiambiwa muanze kuwakula mapema mnajifanya mmetulia ona genye zinavyokusumbua..wiki 3 unawaza ndoa?
 
Hujapenda wewe sema umefurahishwa tu na kulipiwa bill na kutopigwa vizinga,,nakushauri tafuta pesa ndugu
 
Sioni sababu kumkatisha tamaa huyu dogo.
Kwani nyinyi mnawapa mimba hao singo mom kwa njia tofauti, kubaka, kulagai, kuwabananisha kwenye malengo mbali mbali, wengine hawajapenda.
Je hao mabinti waliotoa mimba ni wangapi??
Je ni bora kuoa muuwaji au mwenye mtoto jitafakari!!
Dogo songa mbele ubarikiwe!!
 
Wewe huna uzoefu na wanawake huyo yupo disparate na walau ungefaham kwa nn kazalishwa na kuachwa ama baba MTT yuko wapi ungeweza kufanya maamuzi.

Yote kwa yote huwezi mjua mwanamke ndani ya mwezi mmoja totally impossible...
 
Duh kashanasa
 
utakuja kuijutia hii kauli tena unatuponda na kututenga wanaume wenzako tupo hapa ngoja tusubiri mrejesho


Inaonekana unaongozwa na mihemko
MKUU mmoja mmoja anaanza kujisalimishaa 😛 😛 polen sana comment leo zmepoa sana
 
Nijutie nini tena mkuu. Huyu ni wife material kabisa tena kitabia anawazidi wanawake wengi sana wasio na watoto

MKUU una kila sababu ya kumshukuru Mungu , hapa jamvini wengi watakushauri ila hawana guts hata za kuoa leave alone kusupport mtoto wa ndugu yake. A real mature man ana vitu vyake anaangalia na pengine wewe una vigezo vyako.
Sidhani kama kuwa na mtoto ni kigezi cha dada zetu kutupiwa mawe kuwa walikuwa wazinzi sana - wengine first month/ year of relationship wamebeba mimba na kwa uaminifu kabisa wakakataa kutoa wakalea kwa machungu and they have learnt from that. Kuna msemo wa Enzi unasema " Bold is the man who can raise a child he didn't make and heal a wound he didn't cause".

Wanaume leo wakiulizwa iwapo kila msichana ulieenda nae ujanani alipata mimba - can you handle the shame? come on watu wanakuwa extremely judgemental as if wao hawakufanya dhambi (if at all inaqualify kuitwa dhambi). Ni bora kuwa huru kuliko kungangania kuolewa na mtu mkandamizaji kwa kuogopa kuitwa single mother.

Sikiliza roho yako, Omba Mungu wako, wekeni mipango yenu mezani mnataka nini. Mambo mengine wala huitaji miaka kumtambua mtu unahitaji right time (space) , its all about ur gut feelings. All in all don't be driven na urembo ila vigezo vyako katika kutafuta mke na Mungu akuongoze.
 
Ukijibiwa hayo maswali unitag aisee!

Maana naona upendo umemzidi dogo akili, ndani ya wiki moja tu anatangaza ku-invest kwenye mapenzi!

Hayo ni majibu ya Mlima wa moto aisee.
 

Bro we kweli umeelewa. Mwanamke asinyanyapaliwe kwa sababu alizaa.
 
Wewe huna uzoefu na wanawake huyo yupo disparate na walau ungefaham kwa nn kazalishwa na kuachwa ama baba MTT yuko wapi ungeweza kufanya maamuzi.

Yote kwa yote huwezi mjua mwanamke ndani ya mwezi mmoja totally impossible...
Unachosema ni kweli ila nyota njema huonekana asubuhi
 
Kuwa makini kijana, naona umezama kwa kasi ya 4G
 
There is a difference between love and Lust, wewe unasumbuliwa na lust(matamanio) na umekutana na ambaye anajua kucheza na akili yako,

Oa uone.
 
Mkuu mmekutana mwisho wa mwezi wa 9 mwaka huu au mwaka gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…