Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shepu kama ya wema ipoje? Maana anabadilika kila kukichammejuana wiki moja mnaanza kupanga harusi
Everything MattersAll the best mwaya…..
Kuzaa mtoto hakukufanyi ubadilishe personality yako ..ukimpata mtu unampenda ..unaona mnaendana vitu vingine don't matter..
Ukizaa hugeuki kuwa Zimwi mla watu
vipi bado upo nae??Wakuu za siku nyingi aisee
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia.
Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu.
Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.
Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu.
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti.
Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers, nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji.
Na Mimi nataka mema ya nchi.Wanaume wenzako watakuponda mkuu kuhusu ulivyozama kwa single mother jilie mema ya nchi mkuu maisha yenyewe mafupi haya
Ukipendwaa pendeka
Ahahahaa faken sipo nae.vipi bado upo nae??
[emoji1787] Njo kwa single mother mimi ujilie mema ya nchi [emoji847]Na Mimi nataka mema ya nchi.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hebu nielekeze, nafikaje kwa singo maza wewe? Mji mkubwa huu, sikawii kupotea![emoji1787] Njo kwa single mother mimi ujilie mema ya nchi [emoji847]
Ahahahaa faken sipo nae.
Umeona mkuu..watoto bana mambo yao mengi sana..Kitendo cha kumuita mpenzi wake single mother ameshakosea
We had our issues.Movie iliishiaje?
Exactly. Binafsi Nilishaomba msamaha kwa Mungu kwa mimba nilizosababisha na kuzichoropoa.Single mom tuna Upendo hatuwezi kuua ndio maana tulibeba mimba tukazaa na tukalea.
Na wengi wao wanaoponda single mom unakuta hajalelewa na Baba yake mzazi palipo single mom jua kuna single father.
Nimeshuhudia wadada wengi wakitoa ujauzito bila huruma so kwa niaba ya single mom wala msione Haya wala kujisikia vibaya walochomoa ni mama wa marehemu sisi wa kwetu wapo hai.
Single mom kuolewa wanaolewa sana Na tunapendwa sana tu
Wanaotusema vibaya ni wapumbavu hawajiewi