Unataka kula bila kuliwa hilo haliwezekani ndugu.
Heshima Kwa "Single Mother" Wote Amani iwe Juu yenu.
Niliwahi kutoka na "Single Mother" Mmoja, Mwanzoni alikuwa mgumu sana,huku akisema Wanaume wote hamfai,Waongo sana.
Hivyo ni kama nilikuwa namfaata tembo alijeruhiwa,Nilijaribu kumuweka sawa Palikuwa na taabu,Muda mwingi anazungumzia Jamaa yake aliyemkacha na lawama kibao utadhani Mahakamani.
Mimi moja ya falsafa yangu siwekezi muda Mwingi na nguvu nyingi kuongelea historia ya nyuma,Tunagusa kidogo tena kwa idhini yako au udadisi wako na sio wangu,kisha tunasonga mbele kwa kasi.
Pesa ndogo ndogo wataiatia.
Penzi bila pesa karne hii usawa huu,Penzi litakwenda Mwendo wa Kobe.
Sent using
Jamii Forums mobile app