Mmeanza sasaMkuu unajua wafrika tunapenda sana uongo na kufatijiana pasipo na ukweli.single mother anaweza kuwa na thamani katika mambo mengine lakini kuhusu swala la kuolewa ni uongo na tunadanganyana.
Sote tuna ndugu zetu na wengine Dada zetu walio single mother ukweli ni kuwa katika Wanaume 100 ambao wanataka kuoa ni Mwanaume 1 au 2 anayeweza kuoa mwanamke aliyezalishwa na kuachwa-hata wewe uliyetoa huu Uzi ungekuwa ni ME sidhani kama ungeweza kuoa Mwanamke aliyezalishwa.
Ukidhamiria unaweza ukaiishi"Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)".
Hii quotes imeshiba tatizo kuiishi hii quotes.
Nina evidence na watu kibao waliooa single mother na ni vijana ambao wao hawana watoto!!!Mkuu unajua wafrika tunapenda sana uongo na kufatijiana pasipo na ukweli.single mother anaweza kuwa na thamani katika mambo mengine lakini kuhusu swala la kuolewa ni uongo na tunadanganyana.
Sote tuna ndugu zetu na wengine Dada zetu walio single mother ukweli ni kuwa katika Wanaume 100 ambao wanataka kuoa ni Mwanaume 1 au 2 anayeweza kuoa mwanamke aliyezalishwa na kuachwa-hata wewe uliyetoa huu Uzi ungekuwa ni ME sidhani kama ungeweza kuoa Mwanamke aliyezalishwa.
Si Rahisi kama unavyodhaniπKuzaa mapema kuna faida kubwa sana huko mbeleni, kama utajipanga vizuri; ukiwa na miaka 36, mtoto anakuwa 18, unakuwa sawa na mtu na dada yake.
Ogopa maradhi; usiogope mimba.
Katika hii dunia usiishi kwa kuangalia nani anakuonaje, ishi huku nafsi yako ikiwa imeridhika; huyo mtoto utamfurahia akiwa sekondari kuelekea chuoSi Rahisi kama unavyodhaniπ
ππAmen dada mtumishi
ππKula tanoπ
Hii ndio point yenyewe. Mtoa mada mwenyewe akipata mtoto wa kiuma alafu siku ya siku aje amtambulishe single mama kama wife to be hatakiwa na furaha.Mkuu unajua wafrika tunapenda sana uongo na kufatijiana pasipo na ukweli.single mother anaweza kuwa na thamani katika mambo mengine lakini kuhusu swala la kuolewa ni uongo na tunadanganyana.
Sote tuna ndugu zetu na wengine Dada zetu walio single mother ukweli ni kuwa katika Wanaume 100 ambao wanataka kuoa ni Mwanaume 1 au 2 anayeweza kuoa mwanamke aliyezalishwa na kuachwa-hata wewe uliyetoa huu Uzi ungekuwa ni ME sidhani kama ungeweza kuoa Mwanamke aliyezalishwa.
Hii ndio point yenyewe. Mtoa mada mwenyewe akipata mtoto wa kiuma alafu siku ya siku aje amtambulishe single mama kama wife to be hatakiwa na furaha.
Tusidanganyane bwana ukishakiwa single maza wee ujue kupata mwanaume wakutulia na wewe ni mwanaume ambaye naye single father.
Kama jamii tunatakiwa kupinga vikali hii mambo ya single maza. Tusiwadanganye watoto wetu wa kike kuwa its ok. Its not okay. Ata sie kaka zenu inatuuma sana hamjui tuu matusi tunayopewa na marafiki zetu
Suala la mimba linabaki squarely kwa mwanamke. Kama mwanaume hajakwambia anataka kuzaa na wewe basi tambua kuwa hapo nikuoeana maraha tuu.Hakuna anaesupport! Namimi sijasemea Kuwa ni Jambo zuri!! Ninamshauri kwa Yule ambae tayari imeshamtokea Kuwa Asikate tamaa.
Yeye Bado ni wathamani ,asijiachilie na kujirahisisha akajiona mkongwe na kujifubaza!!
Kuolewa ataolewa tena kwa Ndoa na vigelegele kibao Endapo atajithamini,atajikubali na Atatulia na Mungu.
Ukishindwa wewe,wenzako wanaweza na wanafurahia Maisha yao ya Ndoa. Mnajifanya eti ikemewe wakati ninyi wenyewe ndo mnaowajaza mimba na kuwarubuni??? Kwani huyo single mother alijibebesha??? Tuwashauri wadogo zetu wakiume na wa kike madhara haya but usibaki unapondea tu
Wewe unadhani kwa umri Huo mimi nilikuwa nataka??ππSuala la mimba linabaki squarely kwa mwanamke. Kama mwanaume hajakwambia anataka kuzaa na wewe basi tambua kuwa hapo nikuoeana maraha tuu. Mwanamke kama hataki kuzaa atafanya liwezekanalo kutokuoata mimba.
Wewe unadhani kwa umri Huo mimi nilikuwa nataka??ππ
Acha Siasa ndugu
Unaposema kama hukutaka,unataka kusema ulibakwa?Wewe unadhani kwa umri Huo mimi nilikuwa nataka??ππ
Acha Siasa ndugu
Single mother %90 hawataki kuolewa ila wanataka mwaume atakaye weza kuhudumia Mama na mtoto tu hawanaga mapenzi na mwanaume wanajiweka kwa mwanaume ili kupata pesa za kulea mwanae tu.Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani[emoji112][emoji112]
Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
[emoji2771]Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
[emoji2771]Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)
Una Uhakika na unachokisema??Single mother %90 hawataki kuolewa ila wanataka mwaume atakaye weza kuhudumia Mama na mtoto tu hawanaga mapenzi na mwanaume wanajiweka kwa mwanaume ili kupata pesa za kulea mwanae tu.
ππππUchokozi huo SASAπππWanaume wenyewe siku hizi hata hizo mbegu zakiume wanazo basi, wamebaki kuuziwa dawa za kuongeza nguvu za kiume tu.