Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Wanasahau kuwa factor mojawapo ni irresponsible mens ila lawama zote zonaelekezwa kwa single mamaKuna manaume mengi yamegeuka kuwa takataka siku hizi! Kila linaloamka linaamka na Singo mazeri pumbavu kabisa!
Wanawake wameshuka sana thamani aiseeMnavo wasimanga single mums duuh π nadhani tunatakiwa tuwatie moyo walee watoto wao na sio kuwatia mdomono kila siku kama mswaki
Cholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatuWanawake wameshuka sana thamani aisee
Ng'hana Ng'wanangwaCholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatu
Mwanamke/binadamu sio commodity na hawezi shuka thamani kwa maneno ya jeifu, wala kwa sababu alizozitoa mleta mada.Wanawake wameshuka sana thamani aisee
Nimeandika hivyo ukipita kwenye ma group ya telegram utaona wanawake ambao nin40+ wanavyojianika wazi bila nguo sijui huwa wanafanya vile kwa sababu gani.?Mwanamke/binadamu sio commodity na hawezi shuka thamani kwa maneno ya jeifu, wala kwa sababu alizozitoa mleta mada.
Kwani wanaume wewe unawaona wako wapi bwashee? Mianaume mingi imebaki suruali!Wanawake wameshuka sana thamani aisee
Unyelile kayanda"ebhe! Unokho ng'wenekele Aho'agutolagwa na linso walali'singo maza lelo wandye kubabyedeleja giko a'bakima?Cholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatu
Cocochanel kumbe una akili! Jamaa anachukulia lesson kwa kahaba ndiyo ana-generalize!I nategenea, kuna wanawake hata ex akiwa jaribu hawarudi tena kwake. Mara nyingi akiwa aliumizwa sana nae basi huyo hatamrudia, ila ikiwa mengine kusali tu.
πππ god uplubetMkuu subiri kwanzaa,vuta pumzi alafu anza kutuambia shida nini?