Pongezi kwenu Single Mothers
Kuoa single mother ni sawa na kubeba gunia la misumari kichwani huku una kipara
 
Singo maza ni laana.

Yule ni mke wa mtu, Mzazi mwenzie muda wowote akitaka kumla analiwa.

Vijana kabla hamjaanza ku-date na singo maza hakikisha mumewe kashakufa na kaburi lake ulione.
 
Wanawasema sana ila wanaendelea kula bingo, wadada msimsikilize huyo endeleeni kuwapokea wanaowapenda ili uchungu uwazidi Hawa wenye wivu maana wangekuwa na uwezo wangewaua kabisa ila uwezo hawana.
 
Hivi huwa mko kwenye denial au? There are plenty of options hakuna mtu anashikiwa panga kuwaoa single mother… Y’all can opt better muwaache bila kipoint fingers….

Kuna muda napata kuamini kuwa mnawapenda sana, na wana kitu special!
 
Mwanamke/binadamu sio commodity na hawezi shuka thamani kwa maneno ya jeifu, wala kwa sababu alizozitoa mleta mada.
Nimeandika hivyo ukipita kwenye ma group ya telegram utaona wanawake ambao nin40+ wanavyojianika wazi bila nguo sijui huwa wanafanya vile kwa sababu gani.?

Uliiona ile taarifa ya balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini alichofanya? Na video ikavuja analiwa line zote mbili
IMG-20250107-WA0052.jpg
 
Nyumbani kwetu, alikuja Mshikaji na Mke wake na Mtoto, wa Miaka 7. Yule mtoto alikua anaelewana sana na Yule mshikaji( Mtoto na Baba) mtoto anasoma shule za kulipia Tena shule ya Gharama, na mwanamke ni Mama wa nyumbani dharau kibao kwa mshikaji akaanza kutembea na Kinyozi, Kinyozi anavimba tu mtaani
Jamaa akasanukia Chezo... Jamaa alikua analia sana nakujari mtoto wako namsomesha Leo ndo unanilipa Fadhila hizi
 
I nategenea, kuna wanawake hata ex akiwa jaribu hawarudi tena kwake. Mara nyingi akiwa aliumizwa sana nae basi huyo hatamrudia, ila ikiwa mengine kusali tu.
Cocochanel kumbe una akili! Jamaa anachukulia lesson kwa kahaba ndiyo ana-generalize!
 
Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)

Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.

yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.

Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu

Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
 
Back
Top Bottom