Kumpenda mtu sio upumbavu kumpenda ASIEKUPENDA ndo upumbavu .. Tujitahidi kuepuka kuGENERALIZE mambo kila mtu anapitia changamoto TOFAUTI
 
Dada itakuwa anahudhuria vikao sana ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Hata sisi kunawatu tunajutia kuwajua wanaume mnatulizaga acha tu Polesana ndugu

Sasa hivi ni mwendo wa kuviziana si ndio?

Baby niko Bar na rafiki zangu kumbe niko site naangalia ujenzi,Hati ya kiwanja iko kwa Mama Bonyokwa huko ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ww unajua mwanaume mjinga huyuu.
 
Sasa hivi ni mwendo wa kuviziana si ndio?

Baby niko Bar na rafiki zangu kumbe niko site naangalia ujenzi,Hati ya kiwanja iko kwa Mama Bonyokwa huko ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ww unajua mwanaume mjinga huyuuu
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„Muhimu ni umeumia mkuu wanawake sikuhizi hawacheki na wowote ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Nakutania bhana usije ukalia Bure๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Shida sio kumpenda mwanamke, ila upumbavu ni kumpenda single mother๐Ÿ˜€ hawafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ