The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Kuna Mzee kanipa Darasa nimemuelewa. Kaniambia potezea kijana maumivi ya mapenzi yatapoa ipite hata Miaka siku ukikutana nae kwenye 18 Akijaa chapa ilale huyo malaya kama malaya wengine tuMpe hiyo nyumba ndio atakuheshimu.
😁Kweli siku yao leo, mbukinabe kauziwa mbuzi kwenye gunia live bila chenga!Waacheni kwanza Leo sikuyao ya furaha 😄
Tena Bonge la kunia la chenga mi langu nimelishitukia mapema.😁Kweli siku yao leo, mbukinabe kauziwa mbuzi kwenye gunia live bila chenga!
😄😄😄Muhimu ni umeumia mkuu wanawake sikuhizi hawacheki na wowote 😃😃
Nakutania bhana usije ukalia Bure😂😂
Kauziwa gunia ambalo halina mbuzi😁Kweli siku yao leo, mbukinabe kauziwa mbuzi kwenye gunia live bila chenga!
🤣🤣🤣🤣😁Kweli siku yao leo, mbukinabe kauziwa mbuzi kwenye gunia live bila chenga!
Gunia ndani Lina paka shume aka jibwa la BaaaKauziwa gunia ambalo halina mbuzi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kauziwa gunia ambalo halina mbuzi
Umejichenga tuTena Bonge la kunia la chenga mi langu nimelishitukia mapema.
Tatizo na wewe ulizidi sana shobo.Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)
Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.
yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.
Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu
Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
Ukisikia ujinga ndiyo huu sasa, mtu kishakutoa kasoro za kila aina tena mwanzoni mwa mahusiano yenu, hii ni ishara tosha kuwa hakufai kwani atakuja kukuumiza zaidi huko mbeleni. Ni bora kakuonyesha mapema kuwa hana matumaini nawe, achana naye huyo kibaka wa talaka.Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)
Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.
yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.
Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu
Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
Eti "nilimpenda" Bila ht aibu, huyo aliyemzalisha watoto 3 hakumpenda?Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)
Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.
yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.
Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu
Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.