Nachompendea mama Yangu kila kikoba ananiambia ananiandikia jina moja🤣🤣,mimi kijana wa kiume sina muda wa kuhesabu hisa sijui.

Na mke wangu hajui,tumestuka 2025 December kila mtu na miamala yake.
 
Mnadharau Sana vikao lakin vimetuokoa saana,
Naskitika azizi ki siku ya mhtasari wa katiba hakuwepo kazuzuriwa na ule mwonekano,
Huku kwenye ndoa mwonekano unachukua sehemu ndooogo saana,
 
Tatizo na wewe ulizidi sana shobo.
 
Ukisikia ujinga ndiyo huu sasa, mtu kishakutoa kasoro za kila aina tena mwanzoni mwa mahusiano yenu, hii ni ishara tosha kuwa hakufai kwani atakuja kukuumiza zaidi huko mbeleni. Ni bora kakuonyesha mapema kuwa hana matumaini nawe, achana naye huyo kibaka wa talaka.
 
Dah afadhali maan toka jana aziz atoe mahari kataa ndoa tulikuwa tumepigwa goli 3 bila, huyu mwamba amekuja kutupatia come back ya kibabe dk 65' kataa ndoa 3:3 Wakaza fuvu
 
Apostoo kuna ushuhuda huku.
Your browser is not able to display this video.
 
Eti "nilimpenda" Bila ht aibu, huyo aliyemzalisha watoto 3 hakumpenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…