Pongezi kwenu Single Mothers
Nachompendea mama Yangu kila kikoba ananiambia ananiandikia jina moja🤣🤣,mimi kijana wa kiume sina muda wa kuhesabu hisa sijui.

Na mke wangu hajui,tumestuka 2025 December kila mtu na miamala yake.
 
Mnadharau Sana vikao lakin vimetuokoa saana,
Naskitika azizi ki siku ya mhtasari wa katiba hakuwepo kazuzuriwa na ule mwonekano,
Huku kwenye ndoa mwonekano unachukua sehemu ndooogo saana,
 
Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)

Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.

yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.

Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu

Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
Tatizo na wewe ulizidi sana shobo.
 
Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)

Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.

yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.

Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu

Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
Ukisikia ujinga ndiyo huu sasa, mtu kishakutoa kasoro za kila aina tena mwanzoni mwa mahusiano yenu, hii ni ishara tosha kuwa hakufai kwani atakuja kukuumiza zaidi huko mbeleni. Ni bora kakuonyesha mapema kuwa hana matumaini nawe, achana naye huyo kibaka wa talaka.
 
Dah afadhali maan toka jana aziz atoe mahari kataa ndoa tulikuwa tumepigwa goli 3 bila, huyu mwamba amekuja kutupatia come back ya kibabe dk 65' kataa ndoa 3:3 Wakaza fuvu
 
Apostoo kuna ushuhuda huku.
 
Ktk Maisha yangu najutia sana kukutana na Binti Fulani single Mathers ana Watoto watatu.(Watoto wote Baba Mmoja)

Nilitokea kumpenda siku tu ya kwanza kumuona ilikua mwaka Jana mwezi Wa 3.

yaani nilimpenda yule single mather mpaka nikatamani kumuoa.

Jambo la kwanza ilinibidi ni nunue Kiwanja bila kumwambia nikajenga Vyumba Vitatu kuanzia mwezi 8 Mwaka 2024 kufika mwezi Wa kwanza mwaka 2025 Nyumba imekamilika ila kauli na Maelewano na huyo Mwanamke ni mabovu sana, anajiona mzuri yeye Kila Kitu Yuko sahihi, mda wote mtu wa kunitoa kasoro tu

Kwa kua nampenda Kila ninalolifanya kwake baya, kufikia Mwenzi wa kwanza nikaanza utaratibu wakumpotezea, ile nyumba nikakabizi madalali waipangishe nichukue Kodi Maisha yaendelee.
kiuhalisia naichukia sana kumpenda mtu ni miongoni mwa upumbavu ni Kumpenda mwanamke.
Eti "nilimpenda" Bila ht aibu, huyo aliyemzalisha watoto 3 hakumpenda?
 
Back
Top Bottom