Pongezi kwenu Single Mothers
Nimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Halafu piq hakuna mkuryq anayekataa mtoto ama kutolipa mahari. Fahari ya ndoa kwa mila za kikurya, ni mwanaume kutoa mahari. Haijalishi umelipa kiasi gani
 
"Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?"

Huo mtazamo wako ndio utakaoua haraka mahusiano yenu ya ndoa, kama utaingia nao.
 
Huyo chukua bure tu,tena kama wazazi wake wana mtoto mwingine wa kike inabidi wakupe wa nyongeza.
 
"Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?"

Huo mtazamo wako ndio utakaoua haraka mahusiano yenu ya ndoa, kama utaingia nao.
Siuachi
 
Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?


Kwanza unaoaje limwanamke ? Tafuta mwanamke ndio uoe
 
Asabuhi njema.
giphy.gif
Kikombe changu hiki. Unipunguzie
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya

Amka Usingizini mjomba ,utajikojolea ,Mbweni JKT unapajua? Yaani aache Kwenda Bahari Beach kuna beach za hatari aende Coco Beach Kimba?
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Mapenzi hayana ukurya atakuwini kihisia na utakuja kulia . MKUU HII HANDICAP 2(+2) IISHIE KWENYE BETTING TU SIO KWENYE MAPENZI HATA SIKU MOJA
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Kwani wasichana wameisha? Si useme kuwa wewe ni kula kulala anayetafuta sugamami wa kukuhifadhi baada ya kuishiwa kufikiri na ubunifu
 
Namuonea huruma mwanamke mwenzangu, maana sio kwa nyodo hizo
 
NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya


[emoji3] Jiamini, sawa kakuzidi kila kitu lakini huwezi mtoa kwenye mazingira bora umlete huko uswahilini kwanza nyie mwili mmoja kwanini uanze kujitenga mapema sana

Wewe kama huna pesa au kazi cha kufanya badili gari moja usajili utumie kwa biashara, ila kama unazo pia woga wa nini kakae kwa mkeo huyo ila mimi nisingekaa sema ningetafuta apartment nzuri tungekaa hapo halafu io nyumba yake ipangishwe sio kumpeleka uswahilini huko.

[emoji3] Kuhusu mahari we lipa tu, hamna namna kwani mmewe bado yupo hai?
 
Back
Top Bottom