Pongezi kwenu Single Mothers
unatutafuta ugomvi kwanza vikao huudhuri
Screenshot_20250206-175958~2.jpg
 
Msaada wadau, moja kati ya vitu ambavyo katika maisha yangu niliplan sitokuja kuishi au kuoa mwanamke ambaye kashazilishwa..Hii leo nimempatia mimba binti wa watu ambaye kashazalishwa na wananikomalia nimuoe na sitak kumpoteza mwanangu
Hutaki single mother, kwani unamuoa ili awe mama yako? Kwanza ukimuoa hatakuwa tena single mother, kwa hiyo tatizo lako la kutooa single mother litakuwa limeisha!
 
Msaada wadau, moja kati ya vitu ambavyo katika maisha yangu niliplan sitokuja kuishi au kuoa mwanamke ambaye kashazilishwa..Hii leo nimempatia mimba binti wa watu ambaye kashazalishwa na wananikomalia nimuoe na sitak kumpoteza mwanangu
Sawa oa tuu, kwañini hawakumkomalia huyo wa mwanzo wewe wamekuonaje? Au mimba yako ni nzuri kuliko ya huyo mume mwenzio?
Halafu aliyekwambia mume mwenzio Yuko tayari kumpoteza mtoto wake nani?
 
Msaada wadau, moja kati ya vitu ambavyo katika maisha yangu niliplan sitokuja kuishi au kuoa mwanamke ambaye kashazilishwa..Hii leo nimempatia mimba binti wa watu ambaye kashazalishwa na wananikomalia nimuoe na sitak kumpoteza mwanangu
Siku mwanaume akiweza kubalance akili yake maridadi isiingiliane na uzito wa hisia zake basi atakuwa mwanaume mwenye mafanikio tu sio tu kidunia ila hata kiutu na amani.

Sasa wewe uzito wa hisia umeishinda akili yako.

Siku ukianza kumchoka, utaanza tena kujikumbushia "hivi kwanini lakini nilipiga mbwa hii mimba!?"
 
NI MWIKO.

Hii ni code ya enzi za mababu. Kwa zama hizi vijana hawapewi tena a,b,c za maisha, basi wanajiendea tu.

Single mama wapo toka enzi na enzi. Na walikuwa wanaolewa sana, lakini kuna miiko iliwekwa ili kutoharibu "nature of things".

Mwanaume ukioa single mama, hakikisha hana mtoto wa kiume, na kama itashindikana sana, ikatokea ni lazima umuoe, basi hakikisha huyo mtoto habebi ubini wako wala humchukui. Abaki either kwa babu zake au baba yake amchukue.

Hii ni kwa sababu watoto wa kiume ndiyo "wenye miji", hivyo ukikaribisha damu isiyo yako ndani mwako lazima ije na nguvu hasi, maana kwa vyovyote vile energy yake na yenu zitaanza kushindania utawala.

Kwa upande wa watoto wa kike, hao hawana madhara yoyote hata wakibeba ubini wako au hata ukiwalea. Watoto wa kike ni wa "miji ya watu", ikimaanisha kwamba mtoto wa kike nyumbani kwako haleti msigani wowote ule katika mambo ya nature of things.

Bagua Map Feng Shui(GIF).gif


Law Of Divine Oneness(JPG).jpg
 
Hii ni kwa sababu watoto wa kiume ndiyo "wenye miji"
Hili siku hizi wamelifuta hawa mazafaka na wanataka kwa hali na mali lifutike mwanamke ndio awe mmiliki wa mji hawaelewi kua mtoto wa kiume kwao ndio kwao mwanamke inabidi akajenge mji wake na kibwana chake huko alipoolewa
 
Hili siku hizi wamelifuta hawa mazafaka na wanataka kwa hali na mali lifutike mwanamke ndio awe mmiliki wa mji hawaelewi kua mtoto wa kiume kwao ndio kwao mwanamke inabidi akajenge mji wake na kibwana chake huko alipoolewa
Haitokaa itokee..

Mwanaume atabaki kuwa mwenye mji..

Na mwanamke ni wa miji ya watu...

Ndiyo maana zamani kwenye mambo ya kuoa na kuolewa walikuwa wanayapa uzito sana. Kijana huwezi kuoa oa tu bila ukoo unaoenda kuoa kufanyiwa assessment ya kutosha.

Na mabinti nao walikuwa wanaozeshwa kwenye miji inayoeleweka.

Laws of universe haziwezi vunjwa kirahisirahisi, ukizivunja usije laumu mtu.
 
NI MWIKO.

Hii ni code ya enzi za mababu. Kwa zama hizi vijana hawapewi tena a,b,c za maisha, basi wanajiendea tu.

Single mama wapo toka enzi na enzi. Na walikuwa wanaolewa sana, lakini kuna miiko iliwekwa ili kutoharibu "nature of things".

Mwanaume ukioa single mama, hakikisha hana mtoto wa kiume, na kama itashindikana sana, ikatokea ni lazima umuoe, basi hakikisha huyo mtoto habebi ubini wako wala humchukui. Abaki either kwa babu zake au baba yake amchukue.

Hii ni kwa sababu watoto wa kiume ndiyo "wenye miji", hivyo ukikaribisha damu isiyo yako ndani mwako lazima ije na nguvu hasi, maana kwa vyovyote vile energy yake na yenu zitaanza kushindania utawala.

Kwa upande wa watoto wa kike, hao hawana madhara yoyote hata wakibeba ubini wako au hata ukiwalea. Watoto wa kike ni wa "miji ya watu", ikimaanisha kwamba mtoto wa kike nyumbani kwako haleti msigani wowote ule katika mambo ya nature of things.

View attachment 3260576

View attachment 3260577

Nafikiri sisi ni bora na tumeboresha, sio wa kike tu, Hatuwaowi Kabisa!
 
Back
Top Bottom