Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wakuu
Viongozi mbalimbali wameendelea kutuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa.
Kupitia ukurasa wake wa X, Luhaga Mpina amesifu namna CHADEMA wameweza kumpata Mwenyekiti wao.
Ameandika “Hivi ndivyo mwenyekiti wa chama anavyopatikana. Kuna funzo kubwa sana kwetu.”
Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, na wengine wamempongeza Freeman Mbowe kwa ushindani ulioutoa katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA na amempongeza zaidi Mbowe yeye binafsi kwa mchango wake mkubwa katika siasa za mageuzi za Tanzania na CHADEMA
Viongozi mbalimbali wameendelea kutuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa.
Kupitia ukurasa wake wa X, Luhaga Mpina amesifu namna CHADEMA wameweza kumpata Mwenyekiti wao.
Ameandika “Hivi ndivyo mwenyekiti wa chama anavyopatikana. Kuna funzo kubwa sana kwetu.”