Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Wakuu

Viongozi mbalimbali wameendelea kutuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa.

1737531563104.png

Kupitia ukurasa wake wa X, Luhaga Mpina amesifu namna CHADEMA wameweza kumpata Mwenyekiti wao.

Ameandika “Hivi ndivyo mwenyekiti wa chama anavyopatikana. Kuna funzo kubwa sana kwetu.”

1737529962551.png

1737529988254.png

Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, na wengine wamempongeza Freeman Mbowe kwa ushindani ulioutoa katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA na amempongeza zaidi Mbowe yeye binafsi kwa mchango wake mkubwa katika siasa za mageuzi za Tanzania na CHADEMA

Screenshot 2025-01-22 102320.png

Screenshot 2025-01-22 102250.png

Screenshot 2025-01-22 103648.png

Screenshot 2025-01-22 111402.png

Screenshot 2025-01-22 111542.png
Screenshot 2025-01-22 111724.png
 
Kiukweli kabisa, Kwa yeyote kama una akili TIMAMU na sio Chawa, utakubali kua kilichofanyika Dodoma ulikua ni UHUNI.

Na Kwa mara ya kwanza kabisa, CCM INASIMAMISHA WAGOMBEA WASIOKUA NA MVUTO KWA RAIA.
 
Akionesha kutoridhika na utaratibu wa upatikanaji wa Mwenyekiti wa Chama chake bwana Luhaga Mpina amempongeza Lisu akisema wataendeleza Kwa undani mazungumzo Yao na kwamba eti Vyama vingine vijifunze huko Kwa kina Chadema wa juzi.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFHorfVN-Lf/?igsh=dWswamt0dnlrMDF1

My Take
Bwana Mpina aambiwe ukweli tuu kwamba kama haridhiki ajiengue CCM kuliko kuishi kinafikia nafiki kama Mchawi 😆😆

View: https://www.instagram.com/reel/DFCZ2fPMzUe/?igsh=NzFrMzFncDJ5bHF4
 
Back
Top Bottom