Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

Ila CCM inashangaza, hivi kwa nini Samia anaogopa kugombea uchaguzi wa ndani
 
Kiukweli kabisa, Kwa yeyote kama una akili TIMAMU na sio Chawa, utakubali kua kilichofanyika Dodoma ulikua ni UHUNI.

Na Kwa mara ya kwanza kabisa, CCM INASIMAMISHA WAGOMBEA WASIOKUA NA MVUTO KWA RAIA.
Kabisa
 
Hiyo akaunt Mpina aliikataa sio Yake

Wewe unaleta uchonganishi
 
Back
Top Bottom