Korido za Lumumba kuna vikao vya dharura huko🤣
Bado , na hamna wa kumufukuza. Watu walionyooka ndio wanafaaAmeshafukuzwa CCM technically
Fake hiiKupitia ukurasa wake wa X, Luhaga Mpina amesifu namna CHADEMA wameweza kumpata Mwenyekiti wao.
Ameandika “Hivi ndivyo mwenyekiti wa chama anavyopatikana. Kuna funzo kubwa sana kwetu.”