Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka mechi ichezwe bila hujuma hata kama Simba Sc ikifungwa ni matokeo. kuna mechi Simba inachezewa rafu sana mpaka unajiuliza zile ni ngumi au football. achana na kinachoonekana hadharani, haya ya mafichoni tunayajua zaidiBro ebu weka ushabiki pembeni,nijibu.
Kwanini Simba ikipata sare au kufungwa mnasema mmekamiwa?Kukamiwa ni kubaya?Mnapenda kitonga?
Kuna HUJUMA yeyote Simba amewahi kufanyiwa na una ushahidi nayo?(Nikusaidie)Tunataka mechi ichezwe bila hujuma hata kama Simba Sc ikifungwa ni matokeo. kuna mechi Simba inachezewa rafu sana mpaka unajiuliza zile ni ngumi au football. achana na kinachoonekana hadharani, haya ya mafichoni tunayajua zaidi
🤣🤣🤣Bro hili ni jukwaa la Michezo,Mipasho nenda kule CHIT CHATMpalange FC aliyewachomeka ule mwiko huko nyuma ameshakufa,tutauchomoa tuchomeke hii kitu.View attachment 2071832
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app