Uchaguzi 2020 Pongezi nyingi sana kwa Lissu, Mkewe, Uongozi wa CHADEMA na Watanzania walioshiriki kwenye kampeni za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Pongezi nyingi sana kwa Lissu, Mkewe, Uongozi wa CHADEMA na Watanzania walioshiriki kwenye kampeni za CHADEMA

FARAJA NAY
Napenda kuchukua fursa hii kumpongeza sana Lissu kwa kampeni zake za hali ya juu na zilizokuwa na mahudhurio makubwa sana kila kona ya Nchi yetu uliyopita. Lugha zako za upendo ulizotumia na kutugusa mamilioni ya Watanzania Wazee, vijana na hata watoto. Ulikutana na vikwazo vya aina mbali mbali lakini vyote kwa ujasiri wako mkubwa ulivuka salama.

Napenda pia kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mke wa Lissu kwa kuwa bega na bega na Mh. Lissu tangu mwanzo wa kampeni hadi mwisho wa kampeni. Hongera sana Mama na ahsante sana kwa ujasiri wako pia

Pongezi zangu pia ni kwa viongozi wote wa Chadema kwa uongozi wenu bora pamoja na matatizo mbali mbali mliyopitia tangu 2015 mengine ya kutisha sana lakini hakumkata tamaa hata kwa sekunde moja mliendelea kukipigania chama kwa uwezo wenu wote. Tunawashukuru sana 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Mwisho kabisa pongezi zangu ni kwa Watanzania wa kila kona ya Nchi yetu. Upendo mkubwa sana mliouonyesha kwa Chadema kusema kweli umenishangaza sana na kunipa matumaini makubwa sana kwa Nchi yetu. Pamoja na Chadema kuzuiwa kwa miaka mitano kufanya shughuli zozote za kichama lakini upendo mliouonyesha ni kama vile Chadema ilikuwa very active kwa miaka yote mitano. Mahudhurio makubwa kwenye mikutano ya kampeni Nchi nzima michango yenu mikubwa kusaidia gharama mbali mbali za wagombea wa nafasi mbali mbali Nchini ilikuwa ni ushahidi tosha kwamba Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo juhudi za kuiua Chadema kamwe hazitafanikiwa.

Sasa masaa machache yajayo tukamilishe jambo letu kwa kishindo.

Mungu ibariki Chadema, Mungu ibariki Tanzania 🙏🏽🙏🏽🙏🏽


💪🏾💪🏾💪🏾

FARAJA NAYO NI TIBAA. ILA KUGARAGAZWA KWAKE KUKOPALEPALEE
 
Wasiwasi wangu ni mitano tena ikipatikana , kuna watu watalimia meno.
Visasi vitakua vikubwa sana.

Kheri na Musiba nadhani watapewa na mabomu ya nyuklia kuwaangamiza watu . Kwenye mikutano yote hakuna neno haki lilipotamkwa hata mara moja.
Haki za binadam zitaondolewa kabisa na watu wataonekana kama panya wa Libya wakati wa Ghadhaf.

Tumuombe Mungu ashushe roh o wake mtakatifu.
MBONA UNAWEWESEKA MAPEMA?? JIANDAENI KUVUNA MAJIVU MULIYOYAPANDA.
 
Napenda kuchukua fursa hii kumpongeza sana Lissu kwa kampeni zake za hali ya juu na zilizokuwa na mahudhurio makubwa sana kila kona ya Nchi yetu uliyopita. Lugha zako za upendo ulizotumia na kutugusa mamilioni ya Watanzania Wazee, vijana na hata watoto. Ulikutana na vikwazo vya aina mbali mbali lakini vyote kwa ujasiri wako mkubwa ulivuka salama.

Napenda pia kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mke wa Lissu kwa kuwa bega na bega na Mh. Lissu tangu mwanzo wa kampeni hadi mwisho wa kampeni. Hongera sana Mama na ahsante sana kwa ujasiri wako pia

Pongezi zangu pia ni kwa viongozi wote wa Chadema kwa uongozi wenu bora pamoja na matatizo mbali mbali mliyopitia tangu 2015 mengine ya kutisha sana lakini hakumkata tamaa hata kwa sekunde moja mliendelea kukipigania chama kwa uwezo wenu wote. Tunawashukuru sana [emoji1431][emoji1431][emoji1431]

Mwisho kabisa pongezi zangu ni kwa Watanzania wa kila kona ya Nchi yetu. Upendo mkubwa sana mliouonyesha kwa Chadema kusema kweli umenishangaza sana na kunipa matumaini makubwa sana kwa Nchi yetu. Pamoja na Chadema kuzuiwa kwa miaka mitano kufanya shughuli zozote za kichama lakini upendo mliouonyesha ni kama vile Chadema ilikuwa very active kwa miaka yote mitano. Mahudhurio makubwa kwenye mikutano ya kampeni Nchi nzima michango yenu mikubwa kusaidia gharama mbali mbali za wagombea wa nafasi mbali mbali Nchini ilikuwa ni ushahidi tosha kwamba Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo juhudi za kuiua Chadema kamwe hazitafanikiwa.

Sasa masaa machache yajayo tukamilishe jambo letu kwa kishindo.

Mungu ibariki Chadema, Mungu ibariki Tanzania [emoji1431][emoji1431][emoji1431]


[emoji1491][emoji1491][emoji1491]
Napenda kuchukua fursa hii kumpongeza sana Lissu kwa kampeni zake za hali ya juu na zilizokuwa na mahudhurio makubwa sana kila kona ya Nchi yetu uliyopita. Lugha zako za upendo ulizotumia na kutugusa mamilioni ya Watanzania Wazee, vijana na hata watoto. Ulikutana na vikwazo vya aina mbali mbali lakini vyote kwa ujasiri wako mkubwa ulivuka salama[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
 
Kamuacha mtu hoi huko... sidhani kama ana hamu na wabongo!

Daah nilijua tuna gari madhubuti kumbe ni la mkaa... tripu shamba tripu nne gereji!!

Hongera Lissu!!
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]
 
Mkuu JokaKuu mimi nilikuwa mmoja wa wale walioamini kwamba Lissu angeenguliwa. Kilichofanya niamini kwamba angeenguliwa ni kwamba pamoja na kuwa aliwasili saa tano asubuhi na ushee katika ofisi za tume lakini wote waliokuja nyuma yake walipitishwa kabla yake nakumbuka ilibidi asubiri hadi baada ya saa 12 jioni na kukawa na hofu kubwa kwamba wasiojulikana wangeweza kumteka.
Ilikuwa faida kubwa sana kwake kusubirishwa kule...
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
..Nadhani walitafuta kila sababu ya kumuengua ikashindikana.

..Sasa angalia vikwazo ambavyo kampeni yake wamepitia.

..mashambulizi toka kwa CCM, Kamati ya Amani, Igp,Nec, Msajili, Tcaa, Tcra, na wengine.

..angekuwa mtu wa kawaida angevunjika moyo na kubwaga manyanga.

..Tunashukuru kwa kampeni zake, na tunamuombea USHINDI.
Kwa ujasili huo umenifanya nimpigie kura yangu kwani huyu mtu ameonesha Nia thabiti kuwa anaweza kutuongoza na siyo kututawala
 
ALERT
👉Taarifa toka jimbo la Kavuu nikuwa mawakala 30 wa CHADEMA wamekamatwa na polisi waliokuwa wanajiandaa kwenda kwenye vituo..

@tanpol Sirro ndiyo maana tunataka kukupeleka ICC kwa huu upumbavu wako unaofanya na CCM

@TumeUchaguziTZ who is instructing this to be done?

Kavuu ndio wapi mkuu? Ni vizuri utaje mahali ilipo, Kijiji, mtaa, wilaya na mkoa. Ww Ni gwiji humu jukwaani mbona unaripoti kwa kiwango duni!
 
Mkuu JokaKuu mimi nilikuwa mmoja wa wale walioamini kwamba Lissu angeenguliwa. Kilichofanya niamini kwamba angeenguliwa ni kwamba pamoja na kuwa aliwasili saa tano asubuhi na ushee katika ofisi za tume lakini wote waliokuja nyuma yake walipitishwa kabla yake nakumbuka ilibidi asubiri hadi baada ya saa 12 jioni na kukawa na hofu kubwa kwamba wasiojulikana wangeweza kumteka.
Sikuwa na uhakika kama angepitishwa kutokana na figisu zilizozoeleka na jinsi alivyooneshwa wazi kwamba angekuwa threat kwao! Hata hivyo hapo kwenye RED nilikuwa na uhakika hilo lisingetokea!

Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita Pascal Mayalla aliwahi kuleta thread yake hapa kuelezea shaka yake ikiwa Tundu Lissu angeweza kurudi! Bila kumung'unya nilisema wazi kwamba TL lazima arudi kwa sababu pale alipo tayari keshakuwa radioactive material!

Unless Jiwe na Genge lake wawe ni wapumbavu waliopitiliza ndipo wanaweza kuikaribia radioactive material! Na kwa kawaida, madhalimu sio wapumbavu na ndio maana huwa wanafanikisha udhalimu wao!

All in all, am very impressed na energy aliyokuwa nayo! Kuhimili miezi miwili ay mchaka mchaka kwa mtu ambae kwa muda mrefu alikuwa less active si jambo dogo!!

Anyway, ameshatimiza wajibu wake kwa kiwango cha juu kabisa, kilichobaki ni wajibu wetu Watanzania kuanzia alipoishia!!
 
Sikuwa na uhakika kama angepitishwa kutokana na figisu zilizozoeleka na jinsi alivyooneshwa wazi kwamba angekuwa threat kwao! Hata hivyo hapo kwenye RED nilikuwa na uhakika hilo lisingetokea!

Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita Pascal Mayalla aliwahi kuleta thread yake hapa kuelezea shaka yake ikiwa Tundu Lissu angeweza kurudi! Bila kumung'unya nilisema wazi kwamba TL lazima arudi kwa sababu pale alipo tayari keshakuwa radioactive material!

Unless Jiwe na Genge lake wawe ni wapumbavu waliopitiliza ndipo wanaweza kuikaribia radioactive material! Na kwa kawaida, madhalimu sio wapumbavu na ndio maana huwa wanafanikisha udhalimu wao!

All in all, am very impressed na energy aliyokuwa nayo! Kuhimili miezi miwili ay mchaka mchaka kwa mtu ambae kwa muda mrefu alikuwa less active si jambo dogo!!

Anyway, ameshatimiza wajibu wake kwa kiwango cha juu kabisa, kilichobaki ni wajibu wetu Watanzania kuanzia alipoishia!!
Hakika mkuu TAL ametimiza wajibu wake kwa kiwango cha hali ya juu sana toka mfumo wa vyama vingi uanze. Amepambana na vikwazo vingi hyu MWAMBA!amejipambanua kama Martin Luther King Jr wa wakati huu katika nchi hii. Ametufundisha na amefundisha vizr sana elimu na haki zetu juu ya uonevu wa waziwazi kabsa wa mamlaka.
Kwa wale walioko mashuleni na viuoni Tundu Lissu amehamasisha watoto wetu kujifunza kutokata tamaa asilani katika mapambano yoyote ya kupiga vita iwe ni ujinga na umaskini.
Pia ametufundisha kuwa vikwazo vyote vyote Kati maisha lazma tupambane tuvishinde na tuskate tamaa.
Ametufundisha kuwa Aina yoyote ya ulemavu wa viungo si kigezo cha kukata tamaa hapana!ametuonyesha kuwa kiongo kikuuu cha kufikili ni Ubongo hvo wale wasio na mikono ama miguu ama kiongo chochote ni watu makini kweny mstakabar wa Taifa letu.
Ametufundisha wafanyabiashara wanasiasa wakulima na wafanyakazi katika sekta mbalimbali kutokata kuwa majasir na kutokata tamaa asilani katika kutetea ndoto za juhudi zao.
Shime Shime Watanzania Wote tujitokeze leo hii tukapge Kura za Kishindo ili tuchague Upande wa Sera zitakazotufanya tufurahie maendeleo yetu na uhuru wa maisha yetu na vizazi vyetu!!

PIGA KURA Kwa Tundu Lissu Bila kufanya MAKOSA !!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Hakika mkuu TAL ametimiza wajibu wake kwa kiwango cha hali ya juu sana toka mfumo wa vyama vingi uanze. Amepambana na vikwazo vingi hyu MWAMBA!amejipambanua kama Martin Luther King Jr wa wakati huu katika nchi hii. Ametufundisha na amefundisha vizr sana elimu na haki zetu juu ya uonevu wa waziwazi kabsa wa mamlaka.
Kwa wale walioko mashuleni na viuoni Tundu Lissu amehamasisha watoto wetu kujifunza kutokata tamaa asilani katika mapambano yoyote ya kupiga vita iwe ni ujinga na umaskini.
Pia ametufundisha kuwa vikwazo vyote vyote Kati maisha lazma tupambane tuvishinde na tuskate tamaa.
Ametufundisha kuwa Aina yoyote ya ulemavu wa viungo si kigezo cha kukata tamaa hapana!ametuonyesha kuwa kiongo kikuuu cha kufikili ni Ubongo hvo wale wasio na mikono ama miguu ama kiongo chochote ni watu makini kweny mstakabar wa Taifa letu.
Ametufundisha wafanyabiashara wanasiasa wakulima na wafanyakazi katika sekta mbalimbali kutokata kuwa majasir na kutokata tamaa asilani katika kutetea ndoto za juhudi zao.
Shime Shime Watanzania Wote tujitokeze leo hii tukapge Kura za Kishindo ili tuchague Upande wa Sera zitakazotufanya tufurahie maendeleo yetu na uhuru wa maisha yetu na vizazi vyetu!!

PIGA KURA Kwa Tundu Lissu Bila kufanya MAKOSA !!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Speechless!!!

Moja ya picha ambazo mara kwa mara huwa zina-flash ni kumbukizi za miaka kadhaa iliyopita wakati nikiwa kijana mdogo wa shule!!

Ni flashbacks za TL akifanyiwa mahojiano mara kwa mara na Channel 10 (au CTN, sikumbuki vizuri)

Jinsi ambavyo TL alivyokuwa anamchana Mkapa LIVE kwa kutoa mikataba ya kifisadi ya madini!!

Jinssi TL alivyokuwa anawachana African Barrick Gold na ushenzi wao to the point image ya African Barrick Gold ikaharibika kabisa duniani na kuamua kuiuza lakini hawakupata mnunuzi, na ndio CEO mpya akasema tubadilishe jina na hatimae ikaitwa Acacia!!

Halafu leo wanatokea wapumbavu eti TL anatumiwa na mabeberu... lau kama wangejua ni namna gani hao mabeberu, hususani wa sekta za madini wangependa kuona TL anakufa kabisa, wala wasiongea!!!
 
Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuishinda CCM kwa sasa. Hilo genge la wahuni wa saccos, kushika DOLA sio leo wala kesho. Watanzania wazalendo hawawezi kabidhi nchi kwa kikundi cha watu Sita, ambao hata ofisi hawana ndio wawe watawala haitakaa itokee. So ni upunguani ulioje kuamnini huyu wakala wa mashoga na wasagaji anaweza kuwa Rais. Safari ni fungu la kukosa kila kitu. Wapambe lieni, chekeni habari ndio hiyo. Magufuli ndiye Rais wa Tanzania.
 
I have new respect of this song because of Lissu the GREATEST.
 
Back
Top Bottom