othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 1,995
- 2,795
Wanachonung'unikia wengi mnakujia......yaani Tanzania ni nchi tajiri na mali ni zetu sote kwa maana tumezikuta halafu mnatuambiaga sisi ndio mabosi zenu yaani nyinyi mnatutumikia sisi sasa kwanini nyinyi mko juu sana kimaendeleo ilhali sisi hatutamaniki.