Pongezi Rais Samia, Tanzania moja ya nchi Afrika zinazovutia kwa uwekezaji 2020/21

Kwa ufinyu wa akili yako mpuuzi wewe!!! Hao akina pole pole ná Bashiru waliotamka hivyo walikuwa hawajui kama maccm yanakaguliwa? Ni wakubwa gani hao ndani ya maccm waliowazuia kuwataja majizi ndani maccm?
Katika jitu jinga wewe ndio number 1 humu kwenye jukwaa.

CCM ina audacity ya kujikagua report ya wahusika (pamoja na majina yao) itakuwepo kwenye files zao ili kujisahihisha ni kwa sababu za ki taasisi tu kama hazipo public ila utaambiwa nusu ukweli (wenyewe kwa wenyewe humo ndani watanyooshona).

Vipi Fuso za CDM
ambazo CAG alizogundua mmetumia ruzuku zipo wapi, magari ya M4C mliyopewa na mabeberu yapo wapi, ruzuku ya zaidi ya billioni kwa mwaka kwa miaka zaidi ya kumi imetumuka vipi wakati ata ofisi CDM hawana.

Yaani wewe ndio pimbi la mwisho hivi kwanini watu awakuoni kwa jinsi ulivyo jitu jinga.
 
Nakupa facts bado unabwabwaja ujinga tu ZWAZWA wewe eti maccm yanakaguliwa!!!! Wewe ZWAZWA unajua yaliyo ndani ya maccm kuliko walio jikoni akina Pole pole na Bashiru!?

Tuondolee upumbavu wako mpumbavu mkubwa wewe. Hata Mrisho Gambo anajua maccm na Serikali hii haramu kote kumejaa majizi watupu! Wapumbavu kama wewe ni janga kubwa sana kwa Taifa.

Nchi ina miaka 60 ya uhuru, mikopo na misaada ya trillions rasilimali zilizojaa utajiri mkubwa chungu nzima lakini hatuna chochote kile cha kujivunia na juha wewe bado unawatetea majizi yanayofilisi nchi kwa miaka chungu nzima.

Katika jitu jinga wewe ndio number 1 humu kwenye jukwaa.
 
Nakupa facts bado unabwabwaja ujinga tu ZWAZWA wewe eti maccm yanakaguliwa!!!! Wewe ZWAZWA unajua yaliyo ndani ya maccm kuliko walio jikoni akina Pole pole na Bashiru...
Wengine awakuoni tu jinsi ulivyo jitu jinga.

Sio Polepole tu ile tume (which was indecent) ilikuwa inawatu luluki including ‘Msando’ personal namjua mmmoja wa wanature.

So majina yote CCM wanayo ila wana namna zao za kukosoana na kumalizana ili kuliandana heshima.

Kiazi kama wewe uwezi ulewa.

CCM chama

Haya tuelezee ruzuku zilitumika kununua fuso kwa mujibu ya wa report ya CAG kama mradi wa chama; hizo Fuso leo zipo wapi.

CHADEMA imepokea ruzuku ya zaidi ya billioni 1 Mpaka billioni mbili kwa mwaka. Wafanyakazi wanaolipwa mishahara awazidi 20 ndani ya chama na administration yake.

Hela zimeenda wapi na kila ukaguzi wa CAG for the past 10 years CHADEMA imekuwa ikipata hati chafu.

Najua jitu jinga kama wewe uwezi jibu hayo.

It’s beyond me hivi kwanini watu wengine wanashindwa kukuona jinsi ulivyo utopolo. Yaani ni jitu moja jinga kweli kweli.
 
Hata kuandika ZWAZWA wewe hujui eti AWAKUONI! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ungepata hata robo ya akili zangu usingeekuwa mpumbavu kiasi hiki pimbi wewe!!!

Maccm na hii Serikali haramu wamefikia hadi kutaka kutoa uhai wa CAG Kichere kisa ni kufanya kazi yake kwa umakini mkubwa na kuandika ukweli kuhusu wizi mkubwa, hasara na ubadhirifu katika taasisi mbali mbali za Serikali ambao miaka nenda miaka rudi hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi ya majizi, mafisadi na wabadhirifu.


 





Muhimu ni wewe kuelewa CCM ni chama

Mengine waachie wazalendo humo ndani

Baada ya kusema hayo acha kuandika mambo ya kipuuzi na ya ‘jumla jumla’ kudhani wenyewe hawajui.

Report ya Bashiru ilikabidhiwa mbele ya katibu mkuu na mwenyekiti (wakati Bashiru was nobody ndani ya chama) na tume yote aikuwa na kada mwenye nafasi ndani ya chama; kila kitu kilikuwa independent na report wanayo.

Kwanini atujui majina ya mafisadi CCM wana taratibu zao za kutatua mambo yao.

Embu mwenyekiti wa CDM nayeye ajaribu kuhitisha tume huru kuchunguza malipo na asset za CDM zinavyotumika kama CCM ilivyofanya.

Kama nilivyokuambia you have an audience; but the fact remains we jamaa ni zinga moja la fala sio mtandaoni tu even in real life; I can tell.

Kilatha out
 
Chama cha wahuni, majizi, wabadhirifu, watu dhalimu madhulmati na WAUAJI. ZWAZWA wewe yote hayo HUYAONI.





 
Mjinga mwingine huyu hapa ZWAZWA wewe bila shaka na wewe ni mmoja wa MAFISI hao. Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani.

Ndio ulichobarikiwa ujinga


CCM chama
 
Mjinga mwingine huyu hapa ZWAZWA wewe bila shaka ná wewe ni mmoja wa MAFISI hao. Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani.
View attachment 1931317


Uwezi kuja na audited report ya financial performance of tangible assets za CDM wala bank reconciliation ya ruzuku wanazopekea.

☝️Uwezi kujibu hizo hoja miaka 800 kuonyesha umma CDM is financial responsible and social accountable to be trusted.

Charity begins at home.

Ndio maana C awajawahi pata hati safi. mainly kwa sababu accounts zao na matumizi yao kwa mujibu wa sheria azieleweki.

CCM ni safi kuliko CDM

Ain’t nobody got time na mijitu mijinga ambayo ni blind supporters; well CCM ni chama elewa hilo sio upuuzi unaondika kuhusu mambo usiyoyafahamu kuhusu report zao za kujitungia tungia kukidhi muktadha wa ujinga ulio jaa kichwani kwako.

Ciao
 
Top 5 African countries to invest in 2021
???
Ooops, my bad!
Ha ha haaa!
Wagagagigikoko!
Mobile banking in the Tanzania markets is yet to reach its full potential. However, if investors look into these sectors, there is a possibility of matching the mobile usage of Kenya in the next few years.
Is that so?
Real Estate
As the price of the currency increases, it becomes a struggle for local investors to buy properties. However, few foreign investors are gradually moving towards this sector to invest in it.
What? The price of currency increases?
The good thing about investing in this sector as a foreign investor is that you could partner with the Shikana law group. They provide solutions to investment-related issues in Tanzania.
Shikana Law Group? Provide solutions?
Most commercial traders have a great deal keeping up with revenue increase?
1997?
Occurring investors are ready to enlarge their business as represented in the research conducted by the Tanzania investment centre (TIC) and the National bank of commerce (NBC).
Occurring investors?
If you are, however, confused about deciding among the best top African countries to invest in, in 2021.
Investors confused?
I believe this article will guide you and if you are ever in doubt of a firm to provide you law and business solutions in investment-related matters then Shikana group is the go-to firm in East Africa.

Source: Shikana Group
Shikana again? Who is Shikana!
 
Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani ZWAZWA WEWE! Maccm majizi yote halafu unaendelea kuandika ujinga wako. Kwanini watishie kumuua CAG Kichere? Wizi, ufisadi na ubadhirifu wa trillions IPTL, RICHMOND, DOWANS, EPA, ESCROWS, Ndege ya Rais, uporaji wa nyumba za Serikali, Meremeta, Kuokota vichwa vya treni Bandarini etc haya yote mpumbavu wewe huyaoni!!!


 
Tumpe ushirikiano samua na tufanye kazi kwa bidii

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Angalia jinsi ulivyokuwa mpuuzi!!!! mwingine huyu hapa na uongo wake wa kwamba MABEBERU walitupora gesi.

Ngoja nikufahamishe vizuri ZWAZWA wewe!!! CAG aliandika kuhusu wizi, ufisadi na ubadhirifu vyote vya kutisha kuhusu taasisi mbali mbali za SERIKALI.
Bashiru na Polepole ambao wote walikuwa Viongozi wa juu sana ndani ya maccm ndiyo waliotamka hadharani kwamba maccm kuna majizi makubwa sana lakini cha kushangaza wakubwa ndani ya maccm wamewanyima RUKHSA ya kuwataja. Naona kichwani utakuwa umejaza kamasi tu.
 

Tatizo lako uelewi kwamba report yote CCM wanayo; ulichopewa ni public anecdotes only.

Kizuri zaidi kwenye ile tume ilikuwa independent ili wapeleke report sahihi.

Mwambie Mbowe ajaribu kama itawezekana ndani ya CDM.
 
Wewe kweli mpumbavu!!! Naongelea kauli ya Viongozi wa juu kuhusu majizi wakubwa maccm.
Ripoti ya CAG KIchere ni kuhusu Serikali!!! Mbona una kichwa kigumu kuelewa!!! Duh!!!! Kweli MAZWAZWA kama wewe ni janga kubwa la Taifa.
Tatizo lako uelewi kwamba report yote CCM wanayo; ulichopewa ni public anecdotes only.

Kizuri zaidi kwenye ile tume ilikuwa independent ili wapeleke report sahihi.

Mwambie Mbowe ajaribu kama itawezekana ndani ya CDM.
 
kweli mpumbavu!!! Naongelea kauli ya Viongozi wa juu kuhusu majizi wakubwa maccm.
Ripoti ya CAG KIchere ni kuhusu Serikali!!! Mbona una kichwa kigumu kuelewa!!! Duh!!!! Kweli MAZWAZWA kama wewe ni janga kubwa la Taifa.

Labda kwa wageni wa jukwaa wasio wajua members mlioanza na JF ya kuwa mnalindana (kati yenu Mgeni ni ‘Mshana’ tu, huyu ndio kaja baadae).

Kwa wewe una watu wa kuedit post zao waonekane awawezi andika, una watu wa kufuta post wasizopenda (kama post yangu iliyofutwa dakika chache), mna machawa wa kushambulia, mna watu mliowaongopea character za watu and so forth na kutukana watu wasiowajua.

Na hiyo back up ndio inayokupa nguvu; lakini BAK kama unapambana na watu humu ndani and anybody kwenye genge lenu aingilii ikawa ‘man to man’ huna uwezo wa kumtisha mtu humu ndani.

Wewe ni kiazi tu kwenye dunia ya ukweli, uwezi kujenga hoja people like us can see; you are just an idiot.

We elewa you get away with your back up lakini umtishi mtu fala tu mwingine

Kilatha out.

👋
 
😍👍
 
Tia akili kichwani acha kujitoa ufahamu na kuyatetea hayo majizi, mafisadi, Madhalimu, Madhulmati, Wabadhirifu na wauaji. Maadui wakubwa wa Watanzania ni maccm. Miaka 60 nchini yenye utajiri mkubwa wa rasilimali, ardhi yenye rutuba, watu wengi, misaada na mikopo trillions lakini bado hohe hahe hatuna hata kimoja cha KUJIVUNIA!!!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…