PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia.

Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka..

Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa Miongoni mwao Napenda kumtaja bila kuogopa na nikitembea Kifua Mbele Dkt. Gwajima D.

Kiukweli kabisa Sijawahi kutilia Mashaka uwezo wake na hasa Nimekuwa nina Imani naye Tangu akiwa DMO singida.

Safi sana na Kongole kwako.

Nimependa Response Yako Umepokea Taarifa ndani ya masaa 24 na umeifanyia kazi ndani ya Masaaa 24..

Hakika wewe ni Definition ya Uongozi

NB: Mimi sio mtu wa Kusifia sana ila kwa Hili niacheni nisifie maana Naona Wizara imepata waziri.

Pia soma

Screenshot_20240419_102529_X.jpg


Screenshot_20240419_102610_X.jpg


20240419_102435.jpg
 
Kwanini hukumpongeza na Ex Mayor wa Ubungo Jacob kwa alilolifanya? Mkuu acha double standards...
Bony kafanya Kitu Bora sana kwa Kufichua uovu huo ila sifa zinaenda kwa Gwajima kwa sababu amejua KuAct haraka sana na kuchukua hatua..

Kuna viongozi wengi sana wanalalamikiwa ila Huwa hawachukui hatua yoyote
 
Dkt Doroth Gwajima ni jembe kwelikweli , ni kiongozi anayestahili kuendelea kuaminiwa na kuwepo katika baraza la Mawaziri. Anastahili pongezi .nami pia nampongeza kwa dhati ya moyo wangu na kuendelea kumuombea maisha marefu na kila lenye heri katika utekelezaji wa majukumu yake.
 
Safi
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia.

Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka..

Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa Miongoni mwao Napenda kumtaja bila kuogopa na nikitembea Kifua Mbele Dkt. Gwajima D.

Kiukweli kabisa Sijawahi kutilia Mashaka uwezo wake na hasa Nimekuwa nina Imani naye Tangu akiwa DMO singida.

Safi sana na Kongole kwako.

Nimependa Response Yako Umepokea Taarifa ndani ya masaa 24 na umeifanyia kazi ndani ya Masaaa 24..

Hakika wewe ni Definition ya Uongozi

NB: Mimi sio mtu wa Kusifia sana ila kwa Hili niacheni nisifie maana Naona Wizara imepata waziri.

Pia soma

View attachment 2968041

View attachment 2968039

View attachment 2968042
Safi sana,nimependa uwajibikaji wa Waziri Gwajima!
 
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia.

Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka..

Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa Miongoni mwao Napenda kumtaja bila kuogopa na nikitembea Kifua Mbele Dkt. Gwajima D.

Kiukweli kabisa Sijawahi kutilia Mashaka uwezo wake na hasa Nimekuwa nina Imani naye Tangu akiwa DMO singida.

Safi sana na Kongole kwako.

Nimependa Response Yako Umepokea Taarifa ndani ya masaa 24 na umeifanyia kazi ndani ya Masaaa 24..

Hakika wewe ni Definition ya Uongozi

NB: Mimi sio mtu wa Kusifia sana ila kwa Hili niacheni nisifie maana Naona Wizara imepata waziri.

Pia soma

View attachment 2968041

View attachment 2968039

View attachment 2968042

"Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu"

Kumradhi, maana umesema wewe sio sifia sifia, sema baai nchi imempata kiongozi, na aio viongozi maana kuna majizi mengi sana.
 
ni kitu gani kilimpata huyu mkurugenzi? hana mke? alibaka au ilikuwa rape ya statutory? amempa mimba? walioko karibu mtuambie, imekuwakuwaje? na usalama wa binti upo wapi? kwasababu asijepotezwa kufuta ushahidi. polisi na ustawi mwondoeni binti haraka mkamfiche.
 
ni kitu gani kilimpata huyu mkurugenzi? hana mke? alibaka au ilikuwa rape ya statutory? amempa mimba? walioko karibu mtuambie, imekuwakuwaje? na usalama wa binti upo wapi? kwasababu asijepotezwa kufuta ushahidi. polisi na ustawi mwondoeni binti haraka mkamfiche.
Under 16yrs ni rape,hakuna makubaliano halali ya sex,hope's huyu mtoto(why DED anaajiri Under age ??)atachukuliwa vipimo vya DNA (nategemea tuna uwezo huo)ili kutengeneza watertight case dhidi ya suspect,kwangu DED huyu bado ni suspect hadi court of law itakapoamua (pls DPP file hili lifanyiwe upendeleo ili haki ifanyike kwa pande zote mbili)je kituo cha police pale Mafia wana GBV desk??
 
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia.

Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka..

Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa Miongoni mwao Napenda kumtaja bila kuogopa na nikitembea Kifua Mbele Dkt. Gwajima D.

Kiukweli kabisa Sijawahi kutilia Mashaka uwezo wake na hasa Nimekuwa nina Imani naye Tangu akiwa DMO singida.

Safi sana na Kongole kwako.

Nimependa Response Yako Umepokea Taarifa ndani ya masaa 24 na umeifanyia kazi ndani ya Masaaa 24..

Hakika wewe ni Definition ya Uongozi

NB: Mimi sio mtu wa Kusifia sana ila kwa Hili niacheni nisifie maana Naona Wizara imepata waziri.

Pia soma

View attachment 2968041

View attachment 2968039

View attachment 2968042
Suktani sana kwako Dkt. Gwajima D nina imani nawe. Hata hili suala la KIKOKOTOO lingekuwa linaangukia kwenye wizara yako, ungekuwa umeishalipatia ufumbuzi kitambo sana. Mungu akupe maisha marefu kwa kuwatetea wanyonge katika nchi hii.
 
Kwa mara ya pili naona unaandika ukweli.
Kongole kwa kuandika ukweli.
Dkt Doroth Gwajima ni jembe kwelikweli , ni kiongozi anayestahili kuendelea kuaminiwa na kuwepo katika baraza la Mawaziri. Anastahili pongezi .nami pia nampongeza kwa dhati ya moyo wangu na kuendelea kumuombea maisha marefu na kila lenye heri katika utekelezaji wa majukumu yake.
[/QUOT
 
Back
Top Bottom