uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ni kweli nakiri Kwamba Gwajima Ni mmoja wao..
Ila kwa wwngine Mmh siwashikii Maneno wala siwalii yamini..
Niliyemuona akifanya kazi na kuchukua Jitahada ni Gwajima
Same page
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli nakiri Kwamba Gwajima Ni mmoja wao..
Ila kwa wwngine Mmh siwashikii Maneno wala siwalii yamini..
Niliyemuona akifanya kazi na kuchukua Jitahada ni Gwajima
😂😂😂😂 Usiogope!Umeandika vema. Umekosea padogo tu....akili zoteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ziko kwenye uchaguzi. Hulka ya CCM itawalekela kuzimu , motoni, jahanamu kwa daima kufikiri kufanya dhuluma ya uchaguzi!
Erythrocyte take note of this, hawa si wema chaguzi zijazo, wameshapanga nani achukue wapi. JF rules tunaziheshimu short of that tunawajua wengi tu humu!
Nafikiri haukumtendea haki Bw. Boniphace Jacob ambaye ndiye first Whistleblower kwenye sakata hili. Ulipaswa kuutambua mchango wake, kama ni kutoa pongezi basi ungetoa kwa wote wawili pamoja na huyo Waziri Dkt. Gwajima.Bony kafanya Kitu Bora sana kwa Kufichua uovu huo ila sifa zinaenda kwa Gwajima kwa sababu amejua KuAct haraka sana na kuchukua hatua..
Kuna viongozi wengi sana wanalalamikiwa ila Huwa hawachukui hatua yoyote
Ikiwa umeshindwa kabisa kupata demu, kuna mikono yako miwili na mate tu unaweza mkaza hata Beyonce kwa fikra. Ya nini kujitia kesi na fedheha za kijinga.Upwiru shida sana
siogopi, umeandika vema kabisa kuhusu gwajima. Lkn thinking ya jimbo umeharibu.....😂😂😂😂 Usiogope!
Mkurungenzi kabisa umeshindwa kutomb.a hata secretary wake !!!Sasa huyu Baba alikosa kabisa mwanamke ?? Aibu gani hii
nyege mbaya ,inaoneka alizoea haka kamchezo za mwizi 39Mkurungenzi kabisa umeshindwa kutomb.a hata secretary wake !!!
Nimekubali mziki wakeHivi ndivyo Kiongozi wa serikali anapaswa kuenenda, nakupongeza Sana Dr Dorothy Gwajima na ni lazima tukutafutie Jimbo 2025
Waziri Dr Gwajima amemshukuru kwa ahsante mjumbe wa kamati kuu ya Chadema na Meya Mstaafu wa Ubungo mh Boniface Jacob kwa kumtag Baada ya kupata Taarifa ya DED kumbaka dada wa Kazi wilayani Mafia
Mawasiliano yamefanyika ukurasani X
Dunia ni Kijiji
View attachment 2968326
embu ona hiyo mindevu ilivyokomaa halafu linamgusa mtoto kwenye mgongo!! Linalazimisha kuweka Aisee kwenye matabgazo ya vifo TBC NItaenda kuweka tangazo lake.
Aaaah huyo vikokotoo vya NHIF tu kwake ni mzigo!!Mmeaza kwamba Ummy kafeli
Nzi kufia kidondani!!Eti kuna watu wanataka kuona picha ya huyo binti ili waone kama Mkurugenzi alipatia ama alikosea... watanzania vichwa vyetu wengi vimebeba nywele tu na vialaza... 😀 😀 😀 😀
Usisahau waliocommentNawapongeza wote waliofatilia suala hili