Pongezi viongozi wa dini kwa kukemea ushoga, Ndoa za jinsia moja

Pongezi viongozi wa dini kwa kukemea ushoga, Ndoa za jinsia moja

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Nilipohudhuria ibada kuanzia Alhamisi Kuu, Ijumaa Kuu mpaka Jumapili ya Pasaka nimeona jinsi viongozi wetu wa dini walivyojipanga katika kukemea maovu haya. Siku ya Ijumaa kuu, Askofu alitumia muda mwingi kukemea tabia za ushoga na ndoa za jinsia moja (sikuelewa kwanini alitilia mkazo sana), Pia siku ya Pasaka nimeona jambo hilohilo limeendelea kutiliwa mkazo.Baada ya kutulia naangalia taarifa ya habari report za makanisa mbalimbali katika kusherehekea Sikukuu hii naona makanisa mengi na viongozi wengi wa dini wote wanalizungumzia swala hili.Bila shaka walikutana katika vikao vya ndani (TEC,KKKT n.k) na kukubaliana kwa pamoja kukemea uovu huu.

Kwa hili, Nawapongeza sana viongozi wetu wa kiroho.Kuna nguvu kubwa na vita kubwa katika ulimwengu wa kiroho.Inaonekana Shetani ameamua kuongeza nguvu ili kuingiza ajenda zake na kuhalalisha maovu na kuhakikisha anashinda vita hii (Nguvu inayotumika ni kubwa mno! Wahusika ni watu wakubwa! Si wanasiasa,viongozi wa dini (wasaliti),wasanii maarufu na watu mashuhuri n.k) Hivyo bila kuongeza juhudi na nguvu, Shetani anaweza kushinda vita hii na kuigeuza dunia Sodoma na Gomora nyingine.

Kwa hili, Natoa pongezi kwa dhati.
 
Kusema kweli hali ni mbaya mpaka ukiona kiongozi mkubwa wa nchi anaongea mbele ya hadhara kuhusu ushoga ujue ishu ni kubwa sana

Ukiwa Bize sana na mambo yako ni ngumu kugundua Tanzania kuna mashoga wengi sana kuna group moja nilijiunga jana whatsapp lina mashoga zaidi ya 400 hilo ni group moja tu vijana wengi wadogo 20s
 
Kusema kweli hali ni mbaya mpaka ukiona kiongozi mkubwa wa nchi anaongea mbele ya hadhara kuhusu ushoga ujue ishu ni kubwa sana

Ukiwa Bize sana na mambo yako ni ngumu kugundua Tanzania kuna mashoga wengi sana kuna group moja nilijiunga jana whatsapp lina mashoga zaidi ya 400 hilo ni group moja tu vijana wengi wadogo 20s
Inasikitisha sana, Ukijaribu kufikiria hali hii iachwe hivihivi bila kukemewa miaka kadhaa hapo mbele hali itakuwaje
 
Ni unafiki mtupu, wanatoa matamko kufuata upepo wa kisiasa unavyovuma kuelekea upande gani. Kama siasa zingeelekea upande ule na wao wakatoa matamko haya wangestahili pongezi. Hlili jukumu la mmomonyoko wa maadili ni lao hasa kuliko wanasiasa. Zoezi la kukemea maovu ni endelevu si la msimu. Tena wanatia aibu kutaja lile dubwana kwa jina la mitaani wakati hilo dubwana lina jina lake vitabuni ambako hawa viongozi kila mara wanatakiwa kukemea dhambi hiyo. Waache kuiga wanasiasa maneno na misemo yao, wao wana misamiati yao katika kukemea dhambi. Huko mbeleni kuna sikukuu ya wale wa upande ule nao watakuja na hayahaya ya dubwana hili na watatumia siasa kuonesha wanakemea mmomonyoko wa maadili. Kwa kweli ni vituko na vioja kupopoa majani wakati shina lipo na linaendelea kumea hakuna wa kuweza kung'oa mizizi yake. Too late uharibifu ulianza kitambo kama samaki alavyo chambo yenye ndoana
 
Hii ishu ni hadithi na siasa hadi ushuhudie live live.
Mashoga ni wengi sana na hawavai kike kama zamani
Wako maofisini, kanisani, misikitini
Wako kila sekta binafsi na serikalini.
Sitasahau siku nagundua ninayemtegemea awe mume ni shoga na ana watoto na hata baada ya kuachana amezaa na kuoa kabisaa😅😅😅
KIna mama tulie machozi kuomboleza kwa ajiri ya vizazi vyetu
Tuwasogeze watoto katika madhabahu tunazoziamini wazijue sheria za Mungu na kuziishi tangu utoto
Tuwalinde watoto na kuwafundisha juu ya uovu na athari zake
Wababa msikae nyuma majukumu ni mengi lakini pateni muda kaeni na vijana
Wote tusaidiane kuwalea watoto katika njia njema hakika hawataiacha
Hiii janga limepamba moto jamani.
Kwa zinaa na uasherati Mungu huchukizwa kuliko vyote
Tutapata vipi kupona na familia zetu??
Vizazi na koo zetu???
Jamii??
Taifa??
Dunia??
 
Hii ishu ni hadithi na siasa hadi ushuhudie live live.
Mashoga ni wengi sana na hawavai kike kama zamani
Wako maofisini, kanisani, misikitini
Wako kila sekta binafsi na serikalini.
Sitasahau siku nagundua ninayemtegemea awe mume ni shoga na ana watoto na hata baada ya kuachana amezaa na kuoa kabisaa😅😅😅
KIna mama tulie machozi kuomboleza kwa ajiri ya vizazi vyetu
Tuwasogeze watoto katika madhabahu tunazoziamini wazijue sheria za Mungu na kuziishi tangu utoto
Tuwalinde watoto na kuwafundisha juu ya uovu na athari zake
Wababa msikae nyuma majukumu ni mengi lakini pateni muda kaeni na vijana
Wote tusaidiane kuwalea watoto katika njia njema hakika hawataiacha
Hiii janga limepamba moto jamani.
Kwa zinaa na uasherati Mungu huchukizwa kuliko vyote
Tutapata vipi kupona na familia zetu??
Vizazi na koo zetu???
Jamii??
Taifa??
Dunia??
Duh!! Kumbe mngekuwa mnafumuliwa wote, unazani una bwana kumbe nae ana bwana ake.
 
Ni jukumu la kila mmoja wetu kukemea na pia kama mna watoto au ni waalimu pia wafundisheni mazuri na muwakataze mabaya

Hiyo itawapunguza vijana wengi kujihusisha na mabaya sio ushoga tu hata wizi, uongo, ulevi na hata Rushwa waione mbaya sana

Tuwafundishe na kuwakumbusha kila wakati kama hutawaambia kuwa ushoga ni mbaya watafundishwa na wengine kufanya na kwa sababu hukuwatahadharisha wataona ni mchezo wa kawaida
 
Duh!! Kumbe mngekuwa mnafumuliwa wote, unazani una bwana kumbe nae ana bwana ake.

Haya ni maisha ya watu wengi na hawafahamu wala na huwenda hadharani wanasemea vibaya hili ila lipo linaenea kwenye jamii kwa kasi sana
 
Back
Top Bottom