Pongezi za Halima Mdee, Zitto na ACT Wazalendo, namuona Mdee aliibukia ACT 2025

Pongezi za Halima Mdee, Zitto na ACT Wazalendo, namuona Mdee aliibukia ACT 2025

Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR


Halima Mdee anahangaika tu, Mara abusu picha ya Magufuli, Mara ampongeze Zitto, amekosa pa kushikia. Waende ACT wakafie huko na Zitto, hawataki kutoka CHADEMA lakini hawaitaki CHADEMA.
 
Huna moral authority ya kusema lolote, maana wewe mwenyewe kisiasa ni failure, lakini kila siku kuisema CHADEMA. Uligombea Ubunge ukapata kura moja ya aibu, nilidhani lingekuwa funzo kwako kutokudhihaki wengine na kuelewa political envioroment ilivyo Tanzania na kuwapongeza CHADEMA kwa kuweza kuhimili vishindo.
Wewe uligombea wapi ukapata

USSR
 
Huyu anakula fedha za umma akijua fika hajachaguliwa na Chadema! sasa huyu malaya wa kisiasa anashauri nini? Malaya ni malaya tu, malaya wa kisiasa lakini.
Chadema huchagua nini!?
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

Ndoto za mchana... Hawata pata hata kura nne..
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

LISSU alisema wazi kbs kua sio mkubwa kuliko CDM wala hana umaarufu kuliko CDM sababu... Unapata umaarufu kupitia taasis ya CDM na sio vinginevyo!! Hivyo bas mdee alikua na nguvu na maarufu sabab ya CDM likewise kwa zito, reference angalia umaarufu wa zito akiwa CDM na mdee akiwa CDM!! Ukiingia Mitandaon ndo mbaya zaid even sapoti au engagement kweny hoja zao ni ndogo na ni zipo negative san toka kwa wananchi!!
 
Huyu anakula fedha za umma akijua fika hajachaguliwa na Chadema! sasa huyu malaya wa kisiasa anashauri nini? Malaya ni malaya tu, malaya wa kisiasa lakini.
Notion za kibaguzi si jawabu la political embargo kwa nchi yetu
 
Mkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Unataka kutuambia kilichokuwa kinashinda Kawe ni jina la Halima Mdee binafsi, na wala hapakuwepo na nguvu ya chama chake? unakosea.

Time will tell, but amini nakwambia; hao wanawake kwa ujuaji wao walioufanya, waende huko ACT kisha wakagombee majimbo yao waliyokuwepo bila kuwepo jina la Chadema kwenye karatasi za kupigia kura, mbele ya picha na majina yao, watakiona kitakachowapata.

Huwezi kuifananisha nguvu ya ACT na Chadema field bara, tusidanganyane, hao kina Halima wakijaribu kufanya hivyo, itakuwa ni wao ndio wakibebe chama chao, na wala sio kubebwa na nguvu ya chama walichotoka, ukumbuke kule kushinda kwao kwa kishindo ilikuwepo nguvu ya chama chao, leo hawana, wako na majina yao pekee.
 
Ndugu USSR,

Kwako Zittow na Act yake ndo chama makini ukilinganisha na CDM,

Ukaona inafaa kiwapokea MDEE na co.

Nilidhani ulikuwa na hoja kumhoji ndugu Ecrythrocyte,

Kumbe ni wale wale mnaovizia mfupa uanguke kama fisi upite nao.

Shame on you.
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

Kajiunge nao chap ya Chadema waachie wenyewe
 
Rais mwenyewe kasema alimuomba mbowe waongee siku alipotoka akakubali, Sasa kosa la mbowe ni lipi?. Mama kaenda ubelgiji kaomba kuongea na Lissu, kosa la Lissu lipo wapi?
Ata hapo mkuu unataka tochi? Ivi sa100 atake kuonana na Lissu lakini na mbowe kama watu hawajapita mlango wa nyuma kutayarisha mambo
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

kumbe huwa anapita humu?
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

Act imepitia ya chadema
 
She was a good politician, lakini vipande 30 vya fedha......... kuondoka kwake ni kwa maana ana kwa vile wanabaki waliotayari kufia nchi hii
Jembe tu ndio alikuwa tayari na amekuwa tayari kuifia nchi yake.
 
Mkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Sijawahi kuona gazeti la uhuru au radio uhuru inafuatilia habari za chadema kuliko za ccm, waige kaka zako hao.
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

Ni haki yake kwenda chama chochote maana CDM hahitajiki.
 
Mkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Chawa katika ubora wenu
 
Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.

Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.

USSR

Haya maisha bwana.
Huyu Halima enzi zile alikuwa anaongoza kumchukia zitto akimponda sana kuwa msaliti eti leo amebadili gear angani.
 
Back
Top Bottom