Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Wewe uligombea wapi ukapataHuna moral authority ya kusema lolote, maana wewe mwenyewe kisiasa ni failure, lakini kila siku kuisema CHADEMA. Uligombea Ubunge ukapata kura moja ya aibu, nilidhani lingekuwa funzo kwako kutokudhihaki wengine na kuelewa political envioroment ilivyo Tanzania na kuwapongeza CHADEMA kwa kuweza kuhimili vishindo.
Chadema huchagua nini!?Huyu anakula fedha za umma akijua fika hajachaguliwa na Chadema! sasa huyu malaya wa kisiasa anashauri nini? Malaya ni malaya tu, malaya wa kisiasa lakini.
Ndoto za mchana... Hawata pata hata kura nne..Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
LISSU alisema wazi kbs kua sio mkubwa kuliko CDM wala hana umaarufu kuliko CDM sababu... Unapata umaarufu kupitia taasis ya CDM na sio vinginevyo!! Hivyo bas mdee alikua na nguvu na maarufu sabab ya CDM likewise kwa zito, reference angalia umaarufu wa zito akiwa CDM na mdee akiwa CDM!! Ukiingia Mitandaon ndo mbaya zaid even sapoti au engagement kweny hoja zao ni ndogo na ni zipo negative san toka kwa wananchi!!Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Notion za kibaguzi si jawabu la political embargo kwa nchi yetuHuyu anakula fedha za umma akijua fika hajachaguliwa na Chadema! sasa huyu malaya wa kisiasa anashauri nini? Malaya ni malaya tu, malaya wa kisiasa lakini.
Unataka kutuambia kilichokuwa kinashinda Kawe ni jina la Halima Mdee binafsi, na wala hapakuwepo na nguvu ya chama chake? unakosea.Mkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Mbona makengeza akikosea hamumuambii ukweli?Akikosea lazima ambiwe ukweli.... Hata akienda act ni sawa ndo Uhuru wenyewe huo
Kajiunge nao chap ya Chadema waachie wenyeweBado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Ata hapo mkuu unataka tochi? Ivi sa100 atake kuonana na Lissu lakini na mbowe kama watu hawajapita mlango wa nyuma kutayarisha mamboRais mwenyewe kasema alimuomba mbowe waongee siku alipotoka akakubali, Sasa kosa la mbowe ni lipi?. Mama kaenda ubelgiji kaomba kuongea na Lissu, kosa la Lissu lipo wapi?
kumbe huwa anapita humu?Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Kwani mdee ni mwanaume au mwanamke? Ana mtoto?Kuwa CCM hakukupi Hali ya kuutukana watu. Punguza dharau.
Act imepitia ya chademaBado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Jembe tu ndio alikuwa tayari na amekuwa tayari kuifia nchi yake.She was a good politician, lakini vipande 30 vya fedha......... kuondoka kwake ni kwa maana ana kwa vile wanabaki waliotayari kufia nchi hii
Sijawahi kuona gazeti la uhuru au radio uhuru inafuatilia habari za chadema kuliko za ccm, waige kaka zako hao.Mkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Ni haki yake kwenda chama chochote maana CDM hahitajiki.Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR
Chawa katika ubora wenuMkuu USSR , asante kupongeza Halima Mdee, naunga mkono hoja, na mimi niliisha mpongeza Halima Mdee pale mwanzo alipokataa ujinga wa chama chake kususia viti maalum "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
Kiukweli kabisa, Halima Mdee is a very big asset, in fact she is a precious jewel na ameisha kuwa The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! na hata wakishinda kesi, watabaki Chadema kwasababu tuu ya kuhemea ubunge, lakini kamwe hawatapewa ushirikiano na Chadema, hivyo wanaangalia na kuandaa a fallback direction, japo CCM itawahitaji, mashujaa wa opposition at heart hawatajiunga CCM!. Some wataomba msamaha Chadema na kusamehewa, some watatimkia CCM, makamanda Halima, Bulaya na Matiko watajiunga ACT Wazalendo, na amini usiamini Kawe tunamrudisha kama kuokota embe dodo chini ya mwembe!, Bulaya na Matiko pia wanarejesha majimbo yao!. The biggest looser ni Chadema!. Niliwashauri lakini and it's not too late wayamalize nje ya Mahakama!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Haya maisha bwana.Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe.
Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo la kujifunza hapa.
USSR