Pongezi zangu nyingi sana kwa Watanzania ambao wanawafundisha Lugha ya Kiswahili hawa Wachezaji wa Kigeni hapa Tanzania

Pongezi zangu nyingi sana kwa Watanzania ambao wanawafundisha Lugha ya Kiswahili hawa Wachezaji wa Kigeni hapa Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimemuona Chama akikizungumza vizuri kweli kweli, pia nimemuona na Aucho nae akikizungumza vyema tu ila Kubwa kuliko Mtu ambaye sikutegemea kutokana na kuwa na mambo mengi Bernard Morisson nae akikizungumza vizuri tu. Hawa ni wachache sana ila najua wapo Wachezaji wengi wa Kigeni ambao kwa sasa wanakizungumza Kiswahili.

Nitoe Pongezi zangu kwa wale Wote ( Watanzania ) ambao wamefanikisha kuwafanya hawa Wachezaji wa Kigeni hapa Tanzania si tu wakizungumze Kiswahili bali hata ukiwatizama tu wakiwa wanakiongea utawaona pia wanakipenda sana Kiswahili chetu. Hakika kila Mtanzania popote alipo anatakiwa ajivunie kuwa na hii Lugha adhimu na inayopendwa kwa sasa Afrika.
 
Nimemuona Chama akikizungumza vizuri kweli kweli, pia nimemuona na Aucho nae akikizungumza vyema tu ila Kubwa kuliko Mtu ambaye sikutegemea kutokana na kuwa na mambo mengi Bernard Morisson nae akikizungumza vizuri tu. Hawa ni wachache sana ila najua wapo Wachezaji wengi wa Kigeni ambao kwa sasa wanakizungumza Kiswahili.

Nitoe Pongezi zangu kwa wale Wote ( Watanzania ) ambao wamefanikisha kuwafanya hawa Wachezaji wa Kigeni hapa Tanzania si tu wakizungumze Kiswahili bali hata ukiwatizama tu wakiwa wanakiongea utawaona pia wanakipenda sana Kiswahili chetu. Hakika kila Mtanzania popote alipo anatakiwa ajivunie kuwa na hii Lugha adhimu na inayopendwa kwa sasa Afrika.
Wasipojua unafikiri watashushaje mavokali kwa kina mobeto?
 
Wasipojua unafikiri watashushaje mavokali kwa kina mobeto?
Umenifanya nicheke Mkuu. Kwahiyo unataka kumaanisha kuwa hivi punde hata Kipaji Asilia Aziz K nae atakizungumza?
 
Nimemuona Chama akikizungumza vizuri kweli kweli, pia nimemuona na Aucho nae akikizungumza vyema tu ila Kubwa kuliko Mtu ambaye sikutegemea kutokana na kuwa na mambo mengi Bernard Morisson nae akikizungumza vizuri tu. Hawa ni wachache sana ila najua wapo Wachezaji wengi wa Kigeni ambao kwa sasa wanakizungumza Kiswahili.

Nitoe Pongezi zangu kwa wale Wote ( Watanzania ) ambao wamefanikisha kuwafanya hawa Wachezaji wa Kigeni hapa Tanzania si tu wakizungumze Kiswahili bali hata ukiwatizama tu wakiwa wanakiongea utawaona pia wanakipenda sana Kiswahili chetu. Hakika kila Mtanzania popote alipo anatakiwa ajivunie kuwa na hii Lugha adhimu na inayopendwa kwa sasa Afrika.
Kiswahili kinaongeza vitamin MN'GARISHO.
 
Back
Top Bottom