Kimewaka π₯Huo wimbo nilikutungia ili uniimbie MIMI na sio huyo Ms R....
UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERAAAAA
Wimbo nikutungie mimi, hela ya kurekodi nikupe mimi, producer na director niwe mimi HALAFU wimbo umuimbie huyo CHAKUBANGA MTOKA PABAYA...
Naona umechoka kulelewa......nitakata mirija yote ya MATUMIZI.
Mmmmh mkuu hili neno ni kama msimu hvo halina nguvu kwa wachambuzi kule basata ni sawa na mtu aseme MAKUzi πππππππBomboclat aka bomboclot ni rush kubwa, motherfucker, or uchafu wa kule chini wa mwanamke and the likes
Wahariri wamepitishaje hilo neno?
πππππππ Maua yangu sasaKaka ww mchawi π
πππππ Anataka aanzishe vagi huyuKimewaka π₯
Muelekeze jamaaa huyo ππππKumamoto ni team ya mpira huko Japan, ila kibongo bongo ni tusi.
Ishi humoooooo! π
Sapport yako mkuu ngoma ipo yutubu kule πππππBonge la wimbo lazima utoboe
Meneja nipo hapa mkuu inabidi hii baadae tupeleke wasafi tv ipigwee Cc ephen_Serious kaka ngoja nifanye hvo japo meneja yupo kakimbia jina lake
Umeona taarifa hizo π π π π πNaona wimbo una viewers mia nane kasoro,,wewe na uyo Ms R mmeupiga mwingi
We falaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππΎView attachment 3064313
Breaking News Msanii wa kizazi kipya harmonize atoa ya moyoni kuwa alitamani sana kufanya collabo na msanii chipukizi Poor Brain ila yashindikana kwa kuhofia management ya msanii huyo iliyopo chini ya meneja wake Half american kushindwa kutoa mkataba.....
Hata hivyo Half american ahofia anguko kubwa la msanii wake wakati huu umarufu wake ukiwa katika kiwango kikubwa.
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani kutoka chitchat
Taarifa kamili hapo chini:
Management of Pure Brained Music (PBM) Tanzania,under Manager Half american , has disclosed the reason behind his recent decision to decline a collaboration offer to allow his musicians Poor Brain to make SIJIWEZI remix in Konde Gang Studio,with harmonize
Half american stated that he rejected the offer because he would not be comfortable to see his artist to be overtaken.
Poor Brain In a freestyle session during a rehearsal with his band Ms R and Nyamwila255 , Outsiders Mbaga Jr , Poor Brain expressed, βJust now I turned down Konde Gang offer, collaboration na small thing cos me I no dey like to dey go where my manager say"
Wakuu ngoma inaenda hiii et
ntakua na mwili wa simba bwanUnenepage nawe
Nafatilia kwa makini sanaUmeona taarifa hizo π π π π π
Ooooooh nilijua tuu lazima utakuja kunisema πππππππππWe falaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππΎ
πππππ Wananiita mchawi et..Nafatilia kwa makini sana