Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nimecheka kwa sauti... Ila wee jamaa ni upewe cheo cha mnafiki namba moja daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mziki mzuri et
πŸ˜‚ naona maprojyuza shazi, hapo kakosekana jason de rulo tu kupita na chorus.
 
Wasiliana na management yangu email ipo hapo kwenye bio yangu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Alafu mtu kama wewe useme mtaani upo serious...

Hapa mkuu najipanga kuongea ma management yako ili nipate mkataba kabisa ila kingine kuhusu mavazi utamaliza wewe mkuu maana hyo $4000 ni kipande mkuu
 
Atakuelewa tu taratibu naona hatua n nzuri.
Alhamdullilaah namshukuru Mungu mambo yanaenda kunyooka aiseee hapa nikitoa ngoma zaidi naweza kuta naoa kabisa..

Sasa mkuu naomba nitafutie wasanii wengine zaidi ili ngoma iwe kaliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…