Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Siwezii kukupa mileage kizembe weka Hela nikiimba mm kesho unajikuta kwenye chart za billboardππππ $4000 kitu gani mkuu...i tatoa tuuu mana ww najua unajuaalafu unajua tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezii kukupa mileage kizembe weka Hela nikiimba mm kesho unajikuta kwenye chart za billboardππππ $4000 kitu gani mkuu...i tatoa tuuu mana ww najua unajuaalafu unajua tena
πππππ Mkuu pesa ipo...Siwezii kukupa mileage kizembe weka Hela nikiimba mm kesho unajikuta kwenye chart za billboard
Uhamie kwake kabisa, saaaafi.ππππππSjui nihame jf
Apa kuhama no mkuu ujue ni mda gani nilikua nasubr wakati kama huu
πππππππ Ila watu humu..Ngoma kaliπ₯
acha ujinga wew π π π
Wasiliana na management yangu email ipo hapo kwenye bio yanguπππππ Mkuu pesa ipo...
Tena nataka remix utafute na mwingine ambaye ataweka vocal ya kiitikio mkuu
π naona maprojyuza shazi, hapo kakosekana jason de rulo tu kupita na chorus.πππππππ Nimecheka kwa sauti... Ila wee jamaa ni upewe cheo cha mnafiki namba moja daah πππππππ mziki mzuri et
Huyo ni shabiki wetu ana uhuru wa kutetea mziki wetu πππππacha ujinga wew π π π
Sasa uhame jf unataka uhamie wapi?acha ujinga wew π π π
πππ Mpaka produza wa roma.. yule bea...π naona maprojyuza shazi, hapo kakosekana jason de rulo tu kupita na chorus.
Atakuelewa tu taratibu naona hatua n nzuri.Huyo ni shabiki wetu ana uhuru wa kutetea mziki wetu πππππ
Half american endelea kaka
Hivi ni bea au mbea?πππ Mpaka produza wa roma.. yule bea...
Sasa leo wamemchokoza bea
πππππ Alafu mtu kama wewe useme mtaani upo serious...Wasiliana na management yangu email ipo hapo kwenye bio yangu
Bea bea ile ya mnyma wa kwenye mabarafu ahahahha bear ππππππππHivi ni bea au mbea?
TikTokSasa uhame jf unataka uhamie wapi?
π€£π€£π€£ Atatoa tu ili goma litrend... Na mistari yako sasa ilivo mokali ni fayaπ₯Bila $4000 sitii verse kwenye songi la mtu
Alhamdullilaah namshukuru Mungu mambo yanaenda kunyooka aiseee hapa nikitoa ngoma zaidi naweza kuta naoa kabisa..Atakuelewa tu taratibu naona hatua n nzuri.
Director ndio BKπBea bea ile ya mnyma wa kwenye mabarafu ahahahha bear ππππππππ
Alafu yule wa video BICHWA KOMWE - jina lingine ndo wanamuita MAJAG