Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nimecheka kwa sauti... Ila wee jamaa ni upewe cheo cha mnafiki namba moja daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mziki mzuri et
πŸ˜‚ naona maprojyuza shazi, hapo kakosekana jason de rulo tu kupita na chorus.
 
Wasiliana na management yangu email ipo hapo kwenye bio yangu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Alafu mtu kama wewe useme mtaani upo serious...

Hapa mkuu najipanga kuongea ma management yako ili nipate mkataba kabisa ila kingine kuhusu mavazi utamaliza wewe mkuu maana hyo $4000 ni kipande mkuu
 
Atakuelewa tu taratibu naona hatua n nzuri.
Alhamdullilaah namshukuru Mungu mambo yanaenda kunyooka aiseee hapa nikitoa ngoma zaidi naweza kuta naoa kabisa..

Sasa mkuu naomba nitafutie wasanii wengine zaidi ili ngoma iwe kaliii
 
Back
Top Bottom