Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #101
Huu mwanzo tuu..ππππ΄ aiseee kumbe tuna wasanii humu
Anyway mkuu ndo taarifa kwa umma kuwa umempata wako au??
Kuna conditions za kuniona kwanza uonane na management wao watawasiliana na secretary wangu uwe scheduled, hatutapiga picha, ufanye booking ya ukumbi na usafiri wahi kidogo tuonane mwanzoni wa January 2026 maana takua nimemaliza tour yangu ya North Americaπππππππππππππππππππ Nacheka kwa sauti huku......
Ila mi ni poor ila hapo kwa iko kichwa hapana πππππ
Mkuu basi mi nachosubiri pia itapendeza nikipata kikao na wewe ili unipe zaidi maarifa
π
π₯ Bado mpate mtoto tuu πππππ Tupo studio mkuu hi kama nandy na billnenga
Wee jamaa ni peponi tuu..Hakudanganyi huyo
Kasema anasubiri niwe mshangaziHakudanganyi huyo
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillahπ₯ Bado mpate mtoto tuu π
Hapana bana...Kasema anasubiri niwe mshangazi
Ujue huyo manzi nlkuwa naifukuzia ila ndo hvy mwenye kisu kikali ndio mla nyamaππππ Imekua gafula nini mkuu
Ms R njoo huku πππππππππππππ soma condition za jamaa hapo juuu walaah tena watu humu ππππKuna conditions za kuniona kwanza uonane na management wao watawasiliana na secretary wangu uwe scheduled, hatutapiga picha, ufanye booking ya ukumbi na usafiri wahi kidogo tuonane mwanzoni wa January 2026 maana takua nimemaliza tour yangu ya North America
Kwendaaaaa bwan wew looohHapana bana...
Sasa hapa ndo tupo katika ulimwengu wetuu..
Hayo mambo ya mashangazi nishaachana nayo
πππππ Wanakwambiaje mkuu hizi beat hazipigwagwi....Ujue huyo manzi nlkuwa naifukuzia ila ndo hvy mwenye kisu kikali ndio mla nyama
Mxiuuu π€£π€£π€£ ndoman umekua mpoleUjue huyo manzi nlkuwa naifukuzia ila ndo hvy mwenye kisu kikali ndio mla nyama
Naelewa sasa ππππππ¬π¬Kwendaaaaa bwan wew loooh
utapigwa maweNaelewa sasa ππππππ¬π¬
Mm ntakuwa chawa wako tuu mana umeshanizidi kiwango ππππππ Wanakwambiaje mkuu hizi beat hazipigwagwi....
Ila ni wachache tuuu ambao wanapiga kama sisi wee tulia ila mkuu nambie unaweza nn ili katika project yangu ya pili uwepo πππππππ
Ety Mpaji Mungu ili nimshirikishe nimpe pesa na bado ana condition ngumu hatar khaaa πππππππππVigezo na mashart kuzingatiwa mzeeπ€£π€£π€£hakuna dezo mjini
Anza uchawa sasa kwanza mi pesa ipo mkuu hilo hata wewe unajua humu.... πππππMm ntakuwa chawa wako tuu mana umeshanizidi kiwango π