Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜΄ aiseee kumbe tuna wasanii humu

Anyway mkuu ndo taarifa kwa umma kuwa umempata wako au??
Huu mwanzo tuu..
Kingine hii nimetoa mana kila siku nilikua natoa ahadi kuwa naandaa kitu ila leo nimeaminisha umma wa jf
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nacheka kwa sauti huku......
Ila mi ni poor ila hapo kwa iko kichwa hapana πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Mkuu basi mi nachosubiri pia itapendeza nikipata kikao na wewe ili unipe zaidi maarifa
Kuna conditions za kuniona kwanza uonane na management wao watawasiliana na secretary wangu uwe scheduled, hatutapiga picha, ufanye booking ya ukumbi na usafiri wahi kidogo tuonane mwanzoni wa January 2026 maana takua nimemaliza tour yangu ya North America
 
Kuna conditions za kuniona kwanza uonane na management wao watawasiliana na secretary wangu uwe scheduled, hatutapiga picha, ufanye booking ya ukumbi na usafiri wahi kidogo tuonane mwanzoni wa January 2026 maana takua nimemaliza tour yangu ya North America
Ms R njoo huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ soma condition za jamaa hapo juuu walaah tena watu humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwahiyo mkuu mpala 2026 ety January...
 
Ms R njoo huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ soma condition za jamaa hapo juuu walaah tena watu humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwahiyo mkuu mpala 2026 ety January...
Vigezo na mashart kuzingatiwa mzee🀣🀣🀣hakuna dezo mjini
 
Ujue huyo manzi nlkuwa naifukuzia ila ndo hvy mwenye kisu kikali ndio mla nyama
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanakwambiaje mkuu hizi beat hazipigwagwi....

Ila ni wachache tuuu ambao wanapiga kama sisi wee tulia ila mkuu nambie unaweza nn ili katika project yangu ya pili uwepo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanakwambiaje mkuu hizi beat hazipigwagwi....

Ila ni wachache tuuu ambao wanapiga kama sisi wee tulia ila mkuu nambie unaweza nn ili katika project yangu ya pili uwepo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mm ntakuwa chawa wako tuu mana umeshanizidi kiwango 😎
 
Back
Top Bottom