Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Huo wimbo nilikutungia ili uniimbie MIMI na sio huyo Ms R....

UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERAAAAA

Wimbo nikutungie mimi, hela ya kurekodi nikupe mimi, producer na director niwe mimi HALAFU wimbo umuimbie huyo CHAKUBANGA MTOKA PABAYA...

Naona umechoka kulelewa......nitakata mirija yote ya MATUMIZI.
 
Huo wimbo nilikutungia ili uniimbie MIMI na sio huyo Ms R....

UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERA UMENIKERAAAAA

Wimbo nikutungie mimi, hela ya kurekodi nikupe mimi, producer na director niwe mimi HALAFU wimbo umuimbie huyo CHAKUBANGA MTOKA PABAYA...

Naona umechoka kulelewa......nitakata mirija yote ya MATUMIZI.
Wizoooo pulizi bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimefanya yote haya ili upunguze mambo yako..
Tatizo una mambo mengi alafu hujari
 
View attachment 3064200SIJIWEZI Lyrics By Poor Brain Featuring Ms R

VERSE 1 Poor Brain 🧠

Koh koh koh

Bomboclat

Oooh baby nataka nikwambie vile moyo wangu what i feel,

Are you ready uisikie nafsi yangu upande wa pili

Acha nijimalize kwako mi zaidi ya bwege, mi TID we ndo zeze nalipiga njoo tucheze

CHORUS Poor Brain

Oooh mapenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,

Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi

Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,

Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi

VERSE 2 Ms R

I got you you got me baby, uko sambamba na mimi my dady,

Iwe kwa shida na raha oooh baby, ooh baby, oooh my dady

Umenipa dozi daktari baba, umenificha mi sitoki ndani

Ntakupa dooh vitu vya thamani sijiwezi niko taabani.

Uwepo wako naamini maradhi yangu yatapona

And i will be waiting for this but now i found love.

In this song baby your dedication pack vitu twendege vacation

Twende far away no location au Zanzibar Indian ocean

Wacha nijimalize mi kwako zaidi ya bwege, mi TID na we ndo zeze nalipiga njoo tucheze

Oooh kipenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,

Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi

Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,

Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi

Ka mix laizer

Wa memchokoza beaaa

Kimambo on the beats

The mix killer

Director BICHWA KOMWE -




Gharama za video kwa Director Kenny zote ni juu yangu kijana unajua 🤗
 
Gharama za video kwa Director Kenny zote ni juu yangu kijana unajua 🤗
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏
Dr asante sana ..
Sina mengi ila ni furaha ilioje aiseeeee kama napata sapport kwa mtu mkubwa kama wewe
 
Wizoooo wizoooo
😭😭 kumbe kuna watu unawapenda tofauti na mimi!! Upendo wote niliokuoneshaa!! Kweli!!??

Leo hii unanifanyia hivi mimi 😭😭😭 Kwa lipi...

Haya angalia ana nini kunizidi, mbona wowowo ninalo, shepu ninayo, uzuri ninao na maokoto ninayo! Umekosa nini kwangu? Eeeeh? nakuuliza...
 
BICHWA.jpg


Director wa nyimbo maarufu nchini SIJIWEZI ambaye ni BICHWA KOMWE - amesema kua wakati wa shooting ya nyimbo alishangazwa na mambo mengi sana....



Kwa upande mwingine,alijaribu kugusia kwa location manager proton pump ambaye alichagua video ikafanyikie zanzibar.



Hali ambayo ikaizua mzozo mkubwa sana kwani Ms R alishindwa kabisa kukaa kwenye boti hivo kazi. Ilikua ngumu sana..



Kwa upande wake director BICHWA KOMWE - alisema "" Ms R alinisumbua sana mpaka nikawaza hii kazi bora video qeen angekua Nyamwila255 ila nashukuru kazi imeisha salama . "



DR HAYA LAND atoa dau nono baada ya kusikiliza ngoma anasema yupo tayari kughalamia kiasi chochote kile
 
😭😭 kumbe kuna watu unawapenda tofauti na mimi!! Upendo wote niliokuoneshaa!! Kweli!!??

Leo hii unanifanyia hivi mimi 😭😭😭 Kwa lipi...

Haya angalia ana nini kunizidi, mbona wowowo ninalo, shepu ninayo, uzuri ninao na maokoto ninayo! Umekosa nini kwangu? Eeeeh? nakuuliza...
Hapana tatzo bichwa wewe ubadiliki huo mdomo wako aisee 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom