Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

[emoji24][emoji24] kumbe kuna watu unawapenda tofauti na mimi!! Upendo wote niliokuoneshaa!! Kweli!!??

Leo hii unanifanyia hivi mimi [emoji24][emoji24][emoji24] Kwa lipi...

Haya angalia ana nini kunizidi, mbona wowowo ninalo, shepu ninayo, uzuri ninao na maokoto ninayo! Umekosa nini kwangu? Eeeeh? nakuuliza...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Diamond ajipange sanaaa tena awe makini msanii wetu wa Jf ni moto wa kuotea mbali , hapa nahisi akirudisha mifugo jioni ataandika kibao kingine mana kuna nyimbo na kibao hiki kibao😅😅😅
 
Back
Top Bottom