Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga aibu kubwa kwa soka la bongo matusi yanakaribishwa mwigulu hersi na mwigulu fanyeni mpango muinunue na tabora united...tulitegemea usajili mkubwa dhamira nikutoa upinzani kama azam kumbe usajili mkubwa ni kumsindikiza kibaka huku unapiga kelele kuwazuga wengine....Hussein Massanza anaipongeza GSM badala ya azam tv...mechi mbovu haistaili kuwa ya ligi kuu!
 
Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga aibu kubwa kwa soka la bongo matusi yanakaribishwa mwigulu hersi na mwigulu fanyeni mpango muinunue na tabora united...tulitegemea usajili mkubwa dhamira nikutoa upinzani kama azam kumbe usajili mkubwa ni kumsindikiza kibaka huku unapiga kelele kuwazuga wengine....Hussein Massanza anaipongeza GSM badala ya azam tv...mechi mbovu haistaili kuwa ya ligi kuu!
Duh! Kumbe ndo ilivyo pole sana bwana kipara, hebu tema mate tuwachape!!!
 
hizi kelele sio ngeni na huja pale tu ligi ikiongozwa na yanga!
Tunataka soka halali sio la mipango kila mmoja anaelewa ndio maana wakifika kafu kusiko na mipango ya mwigulu wala mexime ni vichapo tu..tunataka bingwa wa kuiwakilisha nchi sio bingwa wa kushiriki na kudizaini jezi nyingi za mashindano ya caf then hazivaliwi maana wanatoka mapema!
 
Jumatatu - Timu nyingi zikicheza na Yanga huwa dhaifu

Jumanne - Wanakaa kileleni kama status za WhatsApp

Jumatano - Yanga imeshuka kiwango msimu huu

Alhamis - GSM anaharibu LIGI

Ijumaa - Msimu huu ni ubaya ubwela

Jumamosi - Bado tunajenga timu
 
Tunataka soka halali sio la mipango kila mmoja anaelewa ndio maana wakifika kafu kusiko na mipango ya mwigulu wala mexime ni vichapo tu..tunataka bingwa wa kuiwakilisha nchi sio bingwa wa kushiriki na kudizaini jezi nyingi za mashindano ya caf then hazivaliwi maana wanatoka mapema!
Basi! basi! yatapita tu usiumie sana!!!
 
Back
Top Bottom