Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga aibu kubwa kwa soka la bongo matusi yanakaribishwa mwigulu hersi na mwigulu fanyeni mpango muinunue na tabora united...tulitegemea usajili mkubwa dhamira nikutoa upinzani kama azam kumbe usajili mkubwa ni kumsindikiza kibaka huku unapiga kelele kuwazuga wengine....Hussein Massanza anaipongeza GSM badala ya azam tv...mechi mbovu haistaili kuwa ya ligi kuu!
Kwani matokeo yakoje? Nyie watu wa ccm ni kulialia tu, lisu awalize yanga iwalize argh
 
Na yataendelea kupangwa si mnajizima data,,uwezi kurusha mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo utatandikwa mpaka uchakae,,
Kwani huko kimataifa mkishonesha mijezi yenu halafu hakuna pa kuivalia hatua za mwanzo tu mnabutuliwa sisi tunakuwepo!
 
Jumatatu - Timu nyingi zikicheza na Yanga huwa dhaifu

Jumanne - Wanakaa kileleni kama status za WhatsApp

Jumatano - Yanga imeshuka kiwango msimu huu

Alhamis - GSM anaharibu LIGI

Ijumaa - Msimu huu ni ubaya ubwela

Jumamosi - Bado tunajenga timu
Screenshot_20250217-080718_Facebook.jpg
 
Simba icheze mechi zke kikatili sana, hawa wacha wasindikizane baada ya mida wakija kistuka washachelewa. Hii kwa simba inafaida kubwa sana
 
Kwani huko kimataifa mkishonesha mijezi yenu halafu hakuna pa kuivalia hatua za mwanzo tu mnabutuliwa sisi tunakuwepo!
Tumebutuliwa mara ngapi? Kwanza inabidi uwe na aibu kidogo usijidhalilishe hapa,,michuano uliyopo wewe ya Asante Mosepe yanga kacheza fainali sio iyo robo yako unayotambia,,bado yanga anazo medali za mshindi wa pili,,alafu yanga kutolewa hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kutolewa hatua ya nusu fainali kwenye icho kikombe chako cha kahawa kwaiyo kuwa na heshima!
 
5imba mlivyo tiwa bao 5 na Yanga kumbe ilikuwa ni match fixing 💩🤣 mli enjoy kupigwa bao 5 na Yanga ndio maana hadi leo mna weweseka...
Tarehe 8 sio mbali japo tunajua hamtamani ifike ila hakuna namna lazima mkalie tena bao nyingine za kufungia msimu...
 
Tumebutuliwa mara ngapi? Kwanza inabidi uwe na aibu kidogo usijidhalilishe hapa,,michuano uliyopo wewe ya Asante Mosepe yanga kacheza fainali sio iyo robo yako unayotambia,,bado yanga anazo medali za mshindi wa pili,,alafu yanga kutolewa hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kutolewa hatua ya nusu fainali kwenye icho kikombe chako cha kahawa kwaiyo kuwa na heshima!
Kwi kwi kwi ushauri wa bure ikiandaliwa supu kaunda wahi ile ya mapema ukikombereza jungu supu ya mwisho matokeo ina athiri ubongo....hujui unachataka kusema.
 
Kwi kwi kwi ushauri wa bure ikiandaliwa supu kaunda wahi ile ya mapema ukikombereza jungu supu ya mwisho matokeo ina athiri ubongo....hujui unachataka kusema.
Tuonyeshe medali yako uliyopata kwa kushiriki michuano ya kimataifa bwana mwakarobo
 
Tumebutuliwa mara ngapi? Kwanza inabidi uwe na aibu kidogo usijidhalilishe hapa,,michuano uliyopo wewe ya Asante Mosepe yanga kacheza fainali sio iyo robo yako unayotambia,,bado yanga anazo medali za mshindi wa pili,,alafu yanga kutolewa hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kutolewa hatua ya nusu fainali kwenye icho kikombe chako cha kahawa kwaiyo kuwa na heshima!
Utakuwa matatizo wewe sasa unajivunia medali za asante Motsepe
 
Medali anaonyesha bingwa sio mabati yanakamatwa na sumaku tetenasi tupu!
Ata ayo mabati yanayokamatwa na sumaku wewe auna,,ulichonacho ni waganga wa kienyeji waliokutuma ukachome uwanja afrika kusini na bado ukagongwa vile vile!
 
Tumebutuliwa mara ngapi? Kwanza inabidi uwe na aibu kidogo usijidhalilishe hapa,,michuano uliyopo wewe ya Asante Mosepe yanga kacheza fainali sio iyo robo yako unayotambia,,bado yanga anazo medali za mshindi wa pili,,alafu yanga kutolewa hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kutolewa hatua ya nusu fainali kwenye icho kikombe chako cha kahawa kwaiyo kuwa na heshima!
Kwa hiyo simba alivyokuwa anatolewa robo klabu bingwa, inamana alikuwa anabeba kombe la asante Motsepe kabisa. Jaribu kupenda mpira na si klabu.
 
Kwa hiyo simba alivyokuwa anatolewa robo klabu bingwa, inamana alikuwa anabeba kombe la asante Motsepe kabisa. Jaribu kupenda mpira na si klabu.
Ndio maana yake,,Mimi nimetumia lugha nzuri kuliko aliyoitumia katibu wenu kaduguda kwamba ni michuano ya wakinamama!
 
Back
Top Bottom