Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Ili uumie vizuriWacha aongeze tozo apate kuinunua na tabora united....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uumie vizuriWacha aongeze tozo apate kuinunua na tabora united....
Match fixing inaanzia kwa kolo na ndio timu inayoongoza kwa kupata ushindi wa magumashi,, kuanzia mechi na Dodoma, Azam, pamba, Jkt, tabora zote hizo ulinyakua point ngapi ambazo ukustahili? Kaa kimya pia Kuna sanduku la maoni liko pale tff alisema Msemaji wenu baada ya kupora ushindi wa Dodoma,,tutafika tu na mtatoa milio ya panyabuku mpaka akili ziwakae sawaHiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga aibu kubwa kwa soka la bongo matusi yanakaribishwa mwigulu hersi na mwigulu fanyeni mpango muinunue na tabora united...tulitegemea usajili mkubwa dhamira nikutoa upinzani kama azam kumbe usajili mkubwa ni kumsindikiza kibaka huku unapiga kelele kuwazuga wengine....Hussein Massanza anaipongeza GSM badala ya azam tv...mechi mbovu haistaili kuwa ya ligi kuu!
Wala siumii kwa matokeo haya ila naumia timu ikifungwa na timu mbovu kama ali hilali na mc algers!Ili uumie vizuri
Pccb wana jambo hukuHiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga aibu kubwa kwa soka la bongo matusi yanakaribishwa mwigulu hersi na mwigulu fanyeni mpango muinunue na tabora united...tulitegemea usajili mkubwa dhamira nikutoa upinzani kama azam kumbe usajili mkubwa ni kumsindikiza kibaka huku unapiga kelele kuwazuga wengine....Hussein Massanza anaipongeza GSM badala ya azam tv...mechi mbovu haistaili kuwa ya ligi kuu!
HeheheWala siumii kwa matokeo haya ila naumia timu ikifungwa na timu mbovu kama ali hilali na mc algers!
Kiukweli kila wakiiwaza ile point moja wanayoongozaga nayo kundi halafu wakikumbuka kuna tarehe 08 basi jasho linawatoka. 🤣Jumatatu - Timu nyingi zikicheza na Yanga huwa dhaifu
Jumanne - Wanakaa kileleni kama status za WhatsApp
Jumatano - Yanga imeshuka kiwango msimu huu
Alhamis - GSM anaharibu LIGI
Ijumaa - Msimu huu ni ubaya ubwela
Jumamosi - Bado tunajenga timu
Mechi mbovu sana nasikitika wapenzi wa soka la bongo na wallace anayejitahidi kuifanya ligi itambulikane ni heri azam asionyeshe tena maana aibu huko kwenye mataifa mengine ligi yetub wanaiona ni kituko heri ligi daraja la kwanza ina mvuto yanga wanainajisi ligi!Match fixing inaanzia kwa kolo na ndio timu inayoongoza kwa kupata ushindi wa magumashi,, kuanzia mechi na Dodoma, Azam, pamba, Jkt, tabora zote hizo ulinyakua point ngapi ambazo ukustahili? Kaa kimya pia Kuna sanduku la maoni liko pale tff alisema Msemaji wenu baada ya kupora ushindi wa Dodoma,,tutafika tu na mtatoa milio ya panyabuku mpaka akili ziwakae sawa
Nimekuuliza mechi fixing zenu vipi zilikuwa halali mbona aukubweka kama unavyobweka Leo? Ulikuwa unakenua tu uku ukisema ubaya ubwela sasa kinachokuliza kitu Gani?Mechi mbovu sana nasikitika wapenzi wa soka la bongo na wallace anayejitahidi kuifanya ligi itambulikane ni heri azam asionyeshe tena maana aibu huko kwenye mataifa mengine ligi yetub wanaiona ni kituko heri ligi daraja la kwanza ina mvuto yanga wanainajisi ligi!
Match gani?weka ushahidi!Nimekuuliza mechi fixing zenu vipi zilikuwa halali mbona aukubweka kama unavyobweka Leo? Ulikuwa unakenua tu uku ukisema ubaya ubwela sasa kinachokuliza kitu Gani?
Kwa hiyo jumapili kumbe huwa wanapumzika...Jumatatu - Timu nyingi zikicheza na Yanga huwa dhaifu
Jumanne - Wanakaa kileleni kama status za WhatsApp
Jumatano - Yanga imeshuka kiwango msimu huu
Alhamis - GSM anaharibu LIGI
Ijumaa - Msimu huu ni ubaya ubwela
Jumamosi - Bado tunajenga timu
Mechi ya Dodoma lile goli lilikuwa halali? Mechi na Azam yale magoli ya offside yalikuwa halali? Mechi na Jkt je? Mechi na pamba goli walilolifunga lilikuwa na shida Gani? We unadhani Kila mtu ni kipofu,,mnavyopata point basi na yanga atazipata hivyo hivyo akuna kucheka na kima kwasasa,Match gani?weka ushahidi!
Simba hashindi mechi kindezi ni kiume machozi jasho na damu ....Duuh pole sana tunataka timu inayokwenda kushindana kimataifa sio inanunua mechi kwenda kushiriki tu inazibia timu zenye uwezo anakwenda na bendera ya nchi hawakilishi singida na jangwani!Mechi ya Dodoma lile goli lilikuwa halali? Mechi na Azam yale magoli ya offside yalikuwa halali? Mechi na Jkt je? Mechi na pamba goli walilolifunga lilikuwa na shida Gani? We unadhani Kila mtu ni kipofu,,mnavyopata point basi na yanga atazipata hivyo hivyo akuna kucheka na kima kwasasa,
Na Simba atanunuliwa mazima baada ya kununuliwa kwa misimu mitatu sasa kinachofata ni biashara ya jumla jumla kwaiyo kwenye iyo 85% Simba ndani!Tayari mipango inasukwa kumnunua yoyote anayepanda daraja mwakani. Si unaona walivyoiwahi Pamba?
Baada ya miaka 3 hadi 5, 85% ya timu zote zitakuwa chini ya GSM. Huo ndiyo mpango unaoandaliwa na hivyo ndiyo jinsi unatekelezwa.
Tunaona inashinda kwa machozi ya wakina Tatu malogo ni machozi aswaa🤣🤣Simba hashindi mechi kindezi ni kiume machozi jasho na damu ....Duuh pole sana tunataka timu inayokwenda kushindana kimataifa sio inanunua mechi kwenda kushiriki tu inazibia timu zenye uwezo anakwenda na bendera ya nchi hawakilishi singida na jangwani!
Una kipaji, mtafute Coy MzunguNa Simba atanunuliwa mazima baada ya kununuliwa kwa misimu mitatu sasa kinachofata ni biashara ya jumla jumla kwaiyo kwenye iyo 85% Simba ndani!
Kimchezo na uwezo si kimipango kama leo kipa anaanguka ushahidi bila aibu !