Haijalishi wameleta nini, kwani wewe unashirikii hili ulete medali? Hapa tukubaliane tu unajivunia medali ya mashindano ya kina mama.Walivyoishia robo wakaleta nini? Yanga iyo michuano ya wakinamama kavaa medali but Simba ata iyo medali anaiangalia kwenye tv
Najua ulikuwa hujazaliwa wakati tunashuhudia pira la viwango bado uto walikuwa wasindikizaji mpaka wana azimwa wachezaji na simba je ulikuwa wapi?Ahahaha kweli maisha yanaenda Kasi sana,,unatuletea picha za miaka 50 iliyopita? Medali ziko wapi hapo?
Ni sawa sasa mkae kimya kulinganisha michuano mnayoshiriki na wenzenu klabu bingwa waliyoshiriki,,kule klabu bingwa uwezi kukuta timu zenye uwezo kama wa kiluvya united ya TandaleHaijalishi wameleta nini, kwani wewe unashirikii hili ulete medali? Hapa tukubaliane tu unajivunia medali ya mashindano ya kina mama.
NIna hakika kama simba angeshiriki klabu bingwa safari angecheza fainali timu nyingi ni dhaifu!Ni sawa sasa mkae kimya kulinganisha michuano mnayoshiriki na wenzenu klabu bingwa waliyoshiriki,,kule klabu bingwa uwezi kukuta timu zenye uwezo kama wa kiluvya united ya Tandale
Kawaonyeshe kolo wenzako kwamba mwaka 1980 tulicheza fainali ya shirikisho kwaiyo tutambe nayo iyo picha🤣🤣Najua ulikuwa hujazaliwa wakati tunashuhudia pira la viwango bado uto walikuwa wasindikizaji mpaka wana azimwa wachezaji na simba je ulikuwa wapi?
kwa hiyo ukiposheyentwa ✋ kulikuwa na fixingTunataka soka halali sio la mipango kila mmoja anaelewa ndio maana wakifika kafu kusiko na mipango ya mwigulu wala mexime ni vichapo tu..tunataka bingwa wa kuiwakilisha nchi sio bingwa wa kushiriki na kudizaini jezi nyingi za mashindano ya caf then hazivaliwi maana wanatoka mapema!
Alaa ndio maana ya kumbu kumbu!Kawaonyeshe kolo wenzako kwamba mwaka 1980 tulicheza fainali ya shirikisho kwaiyo tutambe nayo iyo picha🤣🤣
Wacha weee,,,Simba hii hii ya wakina mutale na mukwala? Simba hii hii ya kusubilia tatu malogo atoe bonus ya magoli ya offside? Simba hii hii ya kusubilia marefa wakina Hans mabena waongeze dk 20 ili mpate goli au nyingine?NIna hakika kama simba angeshiriki klabu bingwa safari angecheza fainali timu nyingi ni dhaifu!
Hiyo hiyo inamkanda mwarabu kwa mkapa ikiwa uto siku moja kabla kakwama kwa waarabu!Wacha weee,,,Simba hii hii ya wakina mutale na mukwala? Simba hii hii ya kusubilia tatu malogo atoe bonus ya magoli ya offside? Simba hii hii ya kusubilia marefa wakina Hans mabena waongeze dk 20 ili mpate goli au nyingine?
Labda ikande mandazi,,na mngeishia makundi tu Tena kwa vipigo vikaliHiyo hiyo inamkanda mwarabu kwa mkapa ikiwa uto siku moja kabla kakwama kwa waarabu!
Robo ndani ya misimu 4......utopolo ni match fixing ndio zinawaponza!Labda ikande mandazi,,na mngeishia makundi tu Tena kwa vipigo vikali
Medali ya robo Iko wapiRobo ndani ya misimu 4......utopolo ni match fixing ndio zinawaponza!
Naona umeishiwa maneno!Medali ya robo Iko wapi
Si unatamba na robo tuonyeshe iyo medali ya robo misimu 4 unayosema,,kama aipo basi ujue ni sawa na mwanafunzi anayeferi form six ataendelea kutambulika kwa cheti chake cha form four,,nadhani umenielewa point yanguNaona umeishiwa maneno!
Umeishiwa maneno sidhani kama kuna medali za robo....muhimu kila mmoja ameshuhudia mechi mbovu kuliko zote tangu ligi kuu ilipoanzishwa hata mechi ya tabora united waliyocheza pungufu dhidi ya azam chamazi ilikuwa bora!Si unatamba na robo tuonyeshe iyo medali ya robo misimu 4 unayosema,,kama aipo basi ujue ni sawa na mwanafunzi anayeferi form six ataendelea kutambulika kwa cheti chake cha form four,,nadhani umenielewa point yangu
🤣🤣🤣 Basi usitambe na kufika robo wakati ni sawa na kazi Bure ungetamba kama ungefika fainali angalau ukapata kamedali but robo ni kuferi tu unakuwa sawa na ata aliyeishia hatua za awali tuUmeishiwa maneno sidhani kama kuna medali za robo....muhimu kila mmoja ameshuhudia mechi mbovu kuliko zote tangu ligi kuu ilipoanzishwa hata mechi ya kitayosa waliyocheza pungufu ilikuwa bora!
Mtizamo wako!🤣🤣🤣 Basi usitambe na kufika robo wakati ni sawa na kazi Bure ungetamba kama ungefika fainali angalau ukapata kamedali but robo ni kuferi tu unakuwa sawa na ata aliyeishia hatua za awali tu