eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Lkn ukiangalia hakuna tofuati kubwa kihivyo kati TZ na Kenya, ukiangalia hizo takwimu, wote sisi ni nchi masikini tena sana tu, hivyo tushirikiane kutoka hapa badala ya kuleta Picha za estate za foreigners ambazo hata hatuzimiliki!
Duuu KAMA ni hivyo basi NCHI ZETU zinahitaji jitihada za ZIADA. YAANI HAMNA ALIYEFIKA PER CAPITA YA 10,000. Kasoro Botswana, Namibia. Sub Sahara Africa ndo shida, hakuna ALIYEFIKA 5,000. Kazi kubwa ipo mbele YETU.