Akithubutu kufanya hivyo Kuna wakorea watatumdikwa mimba mpaka sana Kwa siku ahahahahah maana Waafrika wanapenda fyokoringo sanaAkaribishe waafrika waingie nchini mwake na kuzaliana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akithubutu kufanya hivyo Kuna wakorea watatumdikwa mimba mpaka sana Kwa siku ahahahahah maana Waafrika wanapenda fyokoringo sanaAkaribishe waafrika waingie nchini mwake na kuzaliana
Mbona Africa kuna dhiki na hatushindani na Marekani?Nchi ambazo viongozi wake hujikita kushindana ki ufalume na USA, watu wake huishi maisha ya dhiki sana! Moja wapo ni hao North Korea
Wachina sasa hivi wanatumia nguvu kubwa sana kuoa wanawake wa kiafrikaChina wanajuta hivyo hivyo
Ujinga unatofautiana mkuu,Mbona Africa kuna dhiki na hatushindani na Marekani?
Wewe na hao wanaolia huko nani ni mjingaMoja ya sera ya kipuuzi kuzaa watoto wengi/hovyo hovyo hii sera inakaribisha umasikini na ujinga
Kukosa elimu kuna peleka mtu kuzaa hovyoWewe na hao wanaolia huko nani ni mjinga
Athari za kuzaa hovyo unazifahamu ?Wewe na hao wanaolia huko nani ni mjinga
Wenye Elimu wanalia Sasa,nani mjinga kati Yao na wewe?Kukosa elimu kuna peleka mtu kuzaa hovyo
Technically hazipoAthari za kuzaa hovyo unazifahamu ?
Wenye Elimu wanalia Sasa,nani mjinga kati Yao na wewe?
View: https://twitter.com/MwanzoTvPlus/status/1732388331357352319?t=j1xzYekSJz4MgIpx56QeRg&s=19
Hazipo ki vipi ?Technically hazipo
Ningetoa motisha kwa watu wanaopata watoto kama huduma za jamii bure,Wale ambao wakifikika wanaanza maandamano huku wameficha nyuso sijui wanasapoti ujinga gani wa mauaji huko wapi sijui
Ningekuwa rais ni Mimi badala ya kulialia kijinga ningeonesha mfano wa kuzaa watoto kama watanoHuyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa jinsi uzao unapungua, mama hawazai tena kisa changamoto nyingi.
==================
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amerekodiwa akilia wakati akiwaomba wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto zaidi, Wakati wa Kongamano la Tano la kitaifa la Wanawake lililofanyika mjini Pyongyang,nchini humo.
Ikumbukwe kuwa Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Korea Kaskazini inapungua kwa hivyo Rais Kim amewataka wanawake kuzaa watoto zaidi katika nia ya 'kuimarisha mamlaka ya kitaifa'.
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong UN false amewasihi wanawake katika nchi hiyo ya Asia Mashariki wazae watoto zaidi na kuwalea kama "wakomunisti," na kulia alipokuwa akitoa hotuba ya hisia mbele ya hadhira iliyojaa hisia.
View attachment 2834472