Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

Hawa DP wamewekeza nchi 80 ina maana hizo nchi hazina wasomi? Mbona migodi wamewekeza wazungu haina kelele kama DP? Au hapa tatizo ni Sheikh au muwekezaji? Mbona Tiss hawakulaumiwa na ufanisi wao ulikua wa hovyo? Tunachotaka ni maendeleo haina haja ya kusema mwarabu au ni mzungu cha muhimu muwekezaji kafata makubaliano ya mikataba
Mikataba yao ikoje?
 
Jamani hela tunazo, wasomi tunao. Tatizo ni nini? Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai, Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi? Wachina, wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini? Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu? Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize, watalipa kodi ama? Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Unapenda CCM unalalamika nini?
 
Jamani hela tunazo, wasomi tunao. Tatizo ni nini? Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai, Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi? Wachina, wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini? Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu? Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize, watalipa kodi ama? Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Tatizo tumezoea kutawaliwa ndio maana. Maana na uhakika kampuni zitakazotengeneza bandari kwa hao DP sio waarabu wenyewe. Itakuwa ya watu wengine. Kwa dalili hizi ina maanza kila kitu tunaleta wawekezaji. Usishangae mpaka shule za msingi..!! Hahaha
 
Jamani hela tunazo, wasomi tunao. Tatizo ni nini? Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai, Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi? Wachina, wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini? Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu? Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize, watalipa kodi ama? Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Akili pia tunazo?
 
Trump alitutukana mkaja juu humu ndani. Sasa leo mnalalamika nini? Tulieni kazi zifanyike kwa manufaa yetu sote jamani.
 
Kuwa wengi sio tija. Hata Serengeti utakuta nyumbu zaidi ya 5000 wanakimbizwa na Simba mmoja ambaye hajabalehe. Katika watu 63m kuna wafuatao;
1. Wenye ugonjwa wa kuchanganya L & R kwenye sentensi.
2. Mashabiki wa Yanga.
3. Wakazi wa Geita na Njombe.
4. Wasukuma
5. Wafuasi wa chama cha Mbowe.
6. Wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Musa.
7. Mashabiki wa muziki wa Singeli
8. Wahadzabe
9. Machalii wa R
10. Wateja wa Kimboka, Sewa, Corner Bar, Kitambaa cheupe, nk.
12. Video vixens
13. Mpwayungu Village.

Ukitoa hayo makundi hapo juu unakuta wanaobaki wenye akili ni wachache sana kama laki 8 tu.
Nimecheka sana .
Huu ukweli unapaswa kurudiwa rudiwa na kusemwa mara Kwa mara
 
Jamani hela tunazo, wasomi tunao. Tatizo ni nini? Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai, Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi? Wachina, wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini? Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu? Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize, watalipa kodi ama? Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Aibu tupu
 
Ufanisi wa Bandari unatafutwa kwa kukaa na wataalamu kuumiza vichwa, Si kuuza Bandari.

Sa100 must go!!!
Waruhusu Familia ya Chief Kimweri nao wamiliki Bandari ya Pangani Ili kuleta maana halisi ya biashara Huria kwenye Soko la Bandari Ili kushindana na familia ya mfalme Wa Kule Dubai.
Watanzania wataamua wenyewe ama kupitisha mizigo Yao Pangani Kwa chifu wao au Kwa Mfame Wa Kiarabu na familia yake.

Mwinyi aliuza Sehemu ya Tanzania kule Loliondo Kwa familia hiyo Hiyo na Sasa familia hiyo inapewa Bandari bureeeee Kwa miaka isiyojulikana.

Loliondo waafrika ni Wageni na watumwa kwenye nchi Yao waarabu ni mabwana .
 
Tatizo ndugu zetu waliopata nafasi kuiongoza wametufelisha big time
 
Jamani hela tunazo, wasomi tunao. Tatizo ni nini? Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai, Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi? Wachina, wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini? Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu? Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize, watalipa kodi ama? Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Allah kawapa Neema Sheikh!
 
Back
Top Bottom