Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

kuna kitu kimoja kwa brevis,IKO AUTOMATED SANA,ACHILIA MBALI CC SIJUI 2500,
SHIDA INAKUJAGA KWENYE MAFUTA,WANAOJUA,HUNUNUI MAFUTA KWA FILLING STATION ZETU HIZI LOCAL,ZINAZOCHANGANYAGA NA MAJI,UNAUWA MFUMO WOTE WA GARI,HUO NDIO UGONJWA WAKE MKUBWA,ISHABADILISHWAGA KWA VITZ,NASHUHUDIA..UMAKINI WA KUREFUEL TU
 
Duh bas izi gari ni shida..tutayanunuaga mbeleni tukiwa na exess kwa ajili ya masafa tu na show off za kuhonga wapenzi wetu..
 
brevis ni gari yenye garama kwenye vipuli ukipewa ukaenda kufanya marekebisho ya vipuli vingi unaweza kukimbia na coast zake ukipiga mwaka mzima unaweza kukuta unanua gari kila mwaka kwa barabara zetu,alafu vipuli vyake sasa
 
Nimeona wadau wengi hapo wamezungumzia kuhusu Fuel Consumption but mbona similar cars kama Mark X bei yake iko juu pamoja na kuwa na cc2500?
Hata mark X mkuu bei ni zilezile za mkononi hazitofautiani sana kwa ufupi gar zote zenye cc kuanzia 2000 kwenda juu mkononi zinauzwa bei chee sana huwezi linganisha na Ist,premio,alex, au Allion.Unaweza kununua leo mark X mil 16 baada ya mwez ingiza sokon kama utapata hata mtu wa mil 12 bt nunua toyota premio mil 13.5 baada ya mwez unauza hata kwa mil 13
 
Kiwanda Cha kutengeneza brevis kimefungwa, hazitengenezwi tena, kwahiyo hata spear hazitotengenezwa tena. Ukae ukijua ukilinunua ndo tayari umefunga nalo Ndoa. Watu wanaikimbia sasahivi brevis!!! Nunua ukomeshwe.
....This, if correct, make alot of sense...[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Kiwanda Cha kutengeneza brevis kimefungwa, hazitengenezwi tena, kwahiyo hata spear hazitotengenezwa tena. Ukae ukijua ukilinunua ndo tayari umefunga nalo Ndoa. Watu wanaikimbia sasahivi brevis!!! Nunua ukomeshwe.
Kweni kiwanda kilichotengeneza Brevis si ni Toyota..lini kimefungwa?we toa utetezi mwingine tu yamkini ya ulaji wa mafuta sawa na si kufungwa kwa kiwanda
 
Malundo ndo kakupa hiyo bei!
 
Mkuu wanunuzi wengi wapya ambao hawajakuwa na experience na magari huwa wana swali moja common!! "Ni four?Au ni six?" ukishatamka neno [six basi ujue huyo mteja hutamuona tena!!
 
Mkuu wanunuzi wengi wapya ambao hawajakuwa na experience na magari huwa wana swali moja common!! "Ni four?Au ni six?" ukishatamka neno [six basi ujue huyo mteja hutamuona tena!!
watu tatizo wamekariri.... wao wanaona wingi wa cylinder manake mafuta mengi na power nyingi... wakati unaweza kuta V8 inakula vizuri mafuta tu kuliko 4cylinders........
 
Nakuona unalainisha kwa kutumia kilainishi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…