Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Hakuna cha 4 cylinders kuwa abnormal mkuu. wala usifikiri idadi ya cylinder ndio itakayoongeza unywaji wa mafuta..... ishu hapo ni efficiency. Ivi unataka kufananisha V8 engine ya 2015 na 4 cylinder Subaru kwa unywaji? au 2jzge?

Tusiende mbali, hapa hapa mjini tunayo magari ya daily driving, je wajua kuwa Lexus is200 6 cylinders, unywaji wake ni mdogo ukicompare na Altezza 4 cylinders? Vile vile unatambuwa kuwa Altezza ya 4 cylinders ina nguvu kuliko Altezza ya 6 cylinders?
Ukweli una unabaki pale pale. Capacity ya ya jumla ya cylinder ndio kigezo.
Mfano:
Unaweza kuta kuna gari ina
cylider 4@ 250 Cc = 1000 CC

Na jingine

Cylider 5@ 200 Cc = 1000 CC

Consuption ya fuel lazima iwe sawa. Kama mambo yote ya msingi yapo constant na hakuna newa technology ambayo ime intervein kwenye izo system mbili
 
Mwenye experience nayo atuambie wapi wanaona kuna tatizo..ether maintenance kama mchangiaji wa juu alivyosema kwamba spear zake gharama au unywaji wa mafuta tu..na kama ni unywaji wa mafuta mwenye uhakika atuambie hapa inakunywa kms ngapi kwa lita 1..tupate solution tuwe huru na mawazo yetu..
 
Ukweli una unabaki pale pale. Capacity ya ya jumla ya cylinder ndio kigezo.
Mfano:
Unaweza kuta kuna gari ina
cylider 4@ 250 Cc = 1000 CC

Na jingine

Cylider 5@ 200 Cc = 1000 CC

Consuption ya fuel lazima iwe sawa. Kama mambo yote ya msingi yapo constant na hakuna newa technology ambayo ime intervein kwenye izo system mbili
Mkuu Hoja yako iko wapi? More cylinders means more fuel? au wap imeegemea? Kama sijaelewa ivi....

Kwa sababu niliposema kuwa unaweza ukakuta 6 cylinders ikawa na unywaji mdogo kuliko 4 cylinders engine ukakataa na kunambia kuwa hio 4 cylinder ipo abnormal.

Nikakulete mfano wa engine ya 1gfe ambayo ni 6 cylinders na 3sge ambayo ni 4 cylinders na kukutaarifu kuwa 4 cylinder ya Altezza ina inakunywa kuliko 6 cylinders 1gfe, kusudi ili niprove point yangu wingi wa cylinder sio kigezo cha unywaji sasa sikuelewi.

Nahisi kama unajigonga kihoja.

Kupitia mfano wako huo huo nikiubadilisha kidogo tu

4 Cylinders Capacity 300cc= 1200cc
5 Cylinders Capacity 200c= 1000cc

Ipi itakuwa na unywaji wa mafuta mwingi?
 
CC 2500 unafikiri mchezo nini?
Hiyo gari ni nzuri pia inatbia ya kujipandisha na kujishusha bei yenyewe kulingana na mahitaji ya soko, miaka 3 iliyopita brevis imeshuka bei kutokana na ujio wa hizi macX, grande 110, alteza bila kuisahau ist na raum kumechangia sana brevis kuporomoka bei, lakini kwa miezi 6 iliyopita ikaja kurudi tena kwenye ushindani sasa sijui ni kwa nini imeporomoka tena.
Kikubwa sana kwenye hii sector ya automobile ni demand ya soko, usishangae leo hii Bajaji ya TVS kuuzwa bei sawa na hayo magari, Jibu ni kwamba Bajaji inahitajika sana kwenye matumizi ya kawaida na kuna income kwa wamiliki wake.
Nisaidie tofauti ya raum, apa, spacio na nardia kwenye eneo la ukubwa injini na unywaji wa mafuta...tafadhari.
 
Wakati niko chuo nilikuwa natumia IST ....hapo ndo niliona tabu za saloon car! Yaan utafikiri natambaa kwenye lami[emoji23] [emoji15]

Niliapa, siku nikipata sufficient chapaaa lazima ninunue SUV
Kama nakuona ukiwa ndani ya Harrier LOL
 
Kiwanda Cha kutengeneza brevis kimefungwa, hazitengenezwi tena, kwahiyo hata spear hazitotengenezwa tena. Ukae ukijua ukilinunua ndo tayari umefunga nalo Ndoa. Watu wanaikimbia sasahivi brevis!!! Nunua ukomeshwe.
Huu Uongo wa karne,
Kwa Hiyo Brevis zina Kiwanda chake tofauti na aina zingine za Toyota salon cars kama Altezza, Verossa, Mar X, Carina, Crown, GX 110 etc??
 
Hakuna cha 4 cylinders kuwa abnormal mkuu. wala usifikiri idadi ya cylinder ndio itakayoongeza unywaji wa mafuta..... ishu hapo ni efficiency. Ivi unataka kufananisha V8 engine ya 2015 na 4 cylinder Subaru kwa unywaji? au 2jzge?

Tusiende mbali, hapa hapa mjini tunayo magari ya daily driving, je wajua kuwa Lexus is200 6 cylinders, unywaji wake ni mdogo ukicompare na Altezza 4 cylinders? Vile vile unatambuwa kuwa Altezza ya 4 cylinders ina nguvu kuliko Altezza ya 6 cylinders?
Lakini hiyo lexus si ni hybrid mkuu?electronic system inasaidia kupunguza unywaji wa mafuta ila ikianza kuchoka ndiyo hapo inakuwa na nguvu kama ya passo ya 800cc huku ikimeza mafuta kama range rover ya mwaka 1983
 
Nimeona wadau wengi hapo wamezungumzia kuhusu Fuel Consumption but mbona similar cars kama Mark X bei yake iko juu pamoja na kuwa na cc2500?
Nilitaka kusema hili.. Ni vizuri mdau umelisemea.nadhani kwenye brevis lipo jambo la ziada mpaka kufanya bei kushuka kiasi hiki.
 
Ukweli una unabaki pale pale. Capacity ya ya jumla ya cylinder ndio kigezo.
Mfano:
Unaweza kuta kuna gari ina
cylider 4@ 250 Cc = 1000 CC

Na jingine

Cylider 5@ 200 Cc = 1000 CC

Consuption ya fuel lazima iwe sawa. Kama mambo yote ya msingi yapo constant na hakuna newa technology ambayo ime intervein kwenye izo system mbili
5cylinder hakuna mkuu!
 
Lakini hiyo lexus si ni hybrid mkuu?electronic system inasaidia kupunguza unywaji wa mafuta ila ikianza kuchoka ndiyo hapo inakuwa na nguvu kama ya passo ya 800cc huku ikimeza mafuta kama range rover ya mwaka 1983
EEEE?? Lexus is200 sio hybrid mkuu, inatumia engine ya 1gfe, hii ni Altezza ile ya 6 cylinders, kwenye soko la Europe inauzwa kama lexus is200. Engine yoyote ikichoka inakuwa na nguvu kidogo mafuta ulaji kama Airbus.... sio hybrid cars tu.
 
56ed94820d19bc6356ad0f42b979c7e1.jpg
Mkuu samahani unatumia mtandao gani huo kutafutia Magari, natanguliza shukrani
 
Nilitaka kusema hili.. Ni vizuri mdau umelisemea.nadhani kwenye brevis lipo jambo la ziada mpaka kufanya bei kushuka kiasi hiki.
Ni issue ile ile ya demand&supply,market determines the price, mark x kutokana na body shape yake inapendwa zaidi na vijana na vijana ndiyo wenye hulka ya kubadilibadili magari kila mara tofauti na sisi wazee!(?)ambao tunakaa na gari hadi siku ukilazimika kutengana nalo unaweka msiba!so vijana wengi bado wanapenda mark x japo kwa kuliulizia ulizia tu na hiyo inalifanya liweze ku sustain kwenye ligi kwa muda mrefu kuliko brevis ambalo linaonekana kama gari la wazee flani hivi,just my thought!
 
Back
Top Bottom