Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Habari wakuu..
Brevis ni gari nzuri sana na kwa anaejua magari ukimpa choices za gari tatu ambayo moja yake itakua kuna brevis bas hatosita kuichagua brevis.

Ni wazi kuwa juzi nilikua natafuta kuapgrade usafiri wangu nnaotumia so kwa sbb nilishapata mteja nikaona kabla ya kuuza sbr niangalie chaguo mahususi la gari ambao ntaongeza ela kidogo nipate gari ya heshima atleast.choice ya kwanza ikaja brevis sbb nilishawahi kutest kuendesha nikaipenda kiac..
Lakini baada ya kuingia kwenye kusearch mambo niliyoyakuta yalinikatisha tamaa nikaona niulize kwa wadau wajuzi wa magari au haswa wenye uzoefu na izi gari aina ya brevis..

Maana kuna moja niliipenda ila ilitangazwa kati ya august mwaka jana yani 2017 mil 7.5 na kwakua niliipenda ilivyo na rangi yake nikasema sbr niulize kama ipo..kuuliza kweli nilikuta ipo haijauzwa ila sema baada kuendelea kuitumia kwa saivi kaigongesha so sikua interested tena..ingawa najua hata kwa 6 kama ingekua vile vile angenipa..ingawa kaigongesha ila bado mbichi kabisa..

Hivyo basi em tujadiliane ni nini haswa kinafanya hii gari yenye heshima mjini kushuka bei kwa kasi kubwa namna hii..unakuta brevis mbichi kabisa ukiuliza bei utacheka mwenyewe..je zinasumbua?zina matatizo ya ovyo ambayo yanakinaisha?au ndo umiliki wake yake na ulaji wa mafuta una tatiza..je nini tatizo juu ya hizi gari adi zipolomoke bei kwa kasi namna hii haswa used yani second hand..na bado soko lake pia kuwa shida..

Karibuni kwa maoni wajuzi wa mambo.
hayanihusu
 
karibu
Mimi natumia land rover 109,series 3.
Huwa nawainjoi wakati wa mvua na kwenye milima hahahaa.
Kuna sticker nimeibandika inasomeka "if you think this is slow wait untill we go uphill"

Karibu sana.
Bado zinapatikana izi
 
Hakuna cha 4 cylinders kuwa abnormal mkuu. wala usifikiri idadi ya cylinder ndio itakayoongeza unywaji wa mafuta..... ishu hapo ni efficiency. Ivi unataka kufananisha V8 engine ya 2015 na 4 cylinder Subaru kwa unywaji? au 2jzge?

Tusiende mbali, hapa hapa mjini tunayo magari ya daily driving, je wajua kuwa Lexus is200 6 cylinders, unywaji wake ni mdogo ukicompare na Altezza 4 cylinders? Vile vile unatambuwa kuwa Altezza ya 4 cylinders ina nguvu kuliko Altezza ya 6 cylinders?
Mwanangu unajua.
 
Huu Uongo wa karne,
Kwa Hiyo Brevis zina Kiwanda chake tofauti na aina zingine za Toyota salon cars kama Altezza, Verossa, Mar X, Carina, Crown, GX 110 etc??
Ivi Toyota Carina bado wanatengeneza zule gari
 
Hivi nyie hua mnataka gari inayonusa mafuta kama bajaji au?Kama toyota gx 100/110 unaweza kutembea lita 1 km 9 mpk 10 mnataka nini tena?

Nilishawahi kumiliki Mazda rx 8 ni cc 1300,i google kama utaweza.

Gari inatembea hapo hakuna cha altezza wala nini,Subaru labda hizi wrx sti ndo zilikua zinanisumbua kwenye ma mbio barabarani.

Lkn consumption yake ilikua ni lita 1 kwa km 6 mpk 7 na inakula oil hatari wkt ni cc 1300,na wala haikua mbovu imekua designed hivyo hivyo tangu kiwandani.

So msidanganyane habari za uhusiano wa CC na ulaji wa mafuta aisee.

Pole saaana mkuu kwa kutokuelewa unywaji wa mafuta wa gari aina ya gx100/110
Nikweli inatumia lita1 kwa km9 lkn hapo umenyooka ukiwa safarini tena spidi isivuke 100
Lkn kwa matumizi ya mjini lita moja nafkiri itakua km4 ama5 kutokana na kutembelea gea kubwa hapa na hapa breki mara jam
Hio mazda kunywa hivyo oil ujue ringpiston zilikua zimechoka
Wewe utaona gari sio mbovu lkn nyuma ina smoke moshi unaotoka huko kama unapulizia shamba la pamba
Ina ikiendelea hivyo itafkia muda itaanza kumiss hapo ujue oil inapanda kwenye plug
Swala la matumizi ya mafuta kwasasa ndio linapewa kipaumbele saana kwa mfano nchini india wadosi wamemodify hadi kutumia gesi badala ya mafuta taxi zote za india ni gesi tu
 
sijui tatizo ni nini maana hiyo GX 100 iko vizuri sana mpaka aliyonunua alikuja kunishukuru hata wese inakula kawaida tofauti na gari niliyonayo sasa hivi but kuuzika ilikuwa ngumu sana niliiweka sokoni mwaka mzima watu wanachungulia wanatereza sasa sijui zina mkosi gani kitaani yaani bora hata Vitz inauzika kirahisi na kwa bei nzuri
Mkuu ninachojua wanunuzi wengi wa magari ni wageni kwenye hii sector.
Na wengi wanaangalia ulaji wa mafuta hakuna kingine mkuu..
Hayo ni magari mazuri sana na yanahimili mikiki mikiki tatizo lina kuja kwenye wese.
 
Hapana sio kama naipenda wala hata..bas its a driving style tu na kwa sbb nataka kuapgrade premio old model ndio nikaona hiyo..otherwise ill better go for alteza 3sge.
Yani kumbe upo premio old...kuna tofauti kubwa sana kwenye ulaji wa mafuta kati ya hio premio na alteza.
Alteza ina bwia.
 
Pole saaana mkuu kwa kutokuelewa unywaji wa mafuta wa gari aina ya gx100/110
Nikweli inatumia lita1 kwa km9 lkn hapo umenyooka ukiwa safarini tena spidi isivuke 100
Lkn kwa matumizi ya mjini lita moja nafkiri itakua km4 ama5 kutokana na kutembelea gea kubwa hapa na hapa breki mara jam
Hio mazda kunywa hivyo oil ujue ringpiston zilikua zimechoka
Wewe utaona gari sio mbovu lkn nyuma ina smoke moshi unaotoka huko kama unapulizia shamba la pamba
Ina ikiendelea hivyo itafkia muda itaanza kumiss hapo ujue oil inapanda kwenye plug
Swala la matumizi ya mafuta kwasasa ndio linapewa kipaumbele saana kwa mfano nchini india wadosi wamemodify hadi kutumia gesi badala ya mafuta taxi zote za india ni gesi tu
Hahah aisee we jamaa acha uwongo wa mchana kweupe.Kweli nina wasiwasi kama kweli una gari wewe.

Nimekua na gx 110 natoka Segerea mpk Mikocheni kila siku kwa miaka zaidi ya 3.Lita 1 ilikua inaenda km 9 bila shida kabisaa.

Usiwe unahadithiwa khs magari mkuu,utakuja kuumbuka aisee.
 
Pole saaana mkuu kwa kutokuelewa unywaji wa mafuta wa gari aina ya gx100/110
Nikweli inatumia lita1 kwa km9 lkn hapo umenyooka ukiwa safarini tena spidi isivuke 100
Lkn kwa matumizi ya mjini lita moja nafkiri itakua km4 ama5 kutokana na kutembelea gea kubwa hapa na hapa breki mara jam
Hio mazda kunywa hivyo oil ujue ringpiston zilikua zimechoka
Wewe utaona gari sio mbovu lkn nyuma ina smoke moshi unaotoka huko kama unapulizia shamba la pamba
Ina ikiendelea hivyo itafkia muda itaanza kumiss hapo ujue oil inapanda kwenye plug
Swala la matumizi ya mafuta kwasasa ndio linapewa kipaumbele saana kwa mfano nchini india wadosi wamemodify hadi kutumia gesi badala ya mafuta taxi zote za india ni gesi tu

Unajua chochote khs rotary engine?Jifunze kwanza then tuendeleze discussions hapa.
 
Hivi nyie hua mnataka gari inayonusa mafuta kama bajaji au?Kama toyota gx 100/110 unaweza kutembea lita 1 km 9 mpk 10 mnataka nini tena?

Nilishawahi kumiliki Mazda rx 8 ni cc 1300,i google kama utaweza.

Gari inatembea hapo hakuna cha altezza wala nini,Subaru labda hizi wrx sti ndo zilikua zinanisumbua kwenye ma mbio barabarani.

Lkn consumption yake ilikua ni lita 1 kwa km 6 mpk 7 na inakula oil hatari wkt ni cc 1300,na wala haikua mbovu imekua designed hivyo hivyo tangu kiwandani.

So msidanganyane habari za uhusiano wa CC na ulaji wa mafuta aisee.
Mazda....hahaa kuna jamaa alitaka nibambika hili asee.
Ila ni gari ya adabu hahahaa
 
km 240 kwa tshs 40,000= tshs 166.7 kwa km, equivalent to 14km/l. Full Kibati.
Nadhani ni zaidi ya hizo km, carina ipo vizuri sana kwenye wese asee.
Noma sana inaenda hadi 16/L
 
Mazda....hahaa kuna jamaa alitaka nibambika hili asee.
Ila ni gari ya adabu hahahaa
Hahah mkuu ungejuta aisee,mm niliambiwa shughuli yake pevu kabla sijainunua lkn niliipenda hivyo hivyo ikabidi niagize.

Baadae nilikuja kuiuza kwa mhindi ila nikija kukaa njema ntakuja kuagiza mazda rx 8 ya 2009 nasikia ina improvement kulinganisha na model zilizopita mkuu.
 
196d2fe35a8c2819591dd5330ed98a7c.jpg
 
Yani kumbe upo premio old...kuna tofauti kubwa sana kwenye ulaji wa mafuta kati ya hio premio na alteza.
Alteza ina bwia.
Atleast altezza inaeleweka ni 10kms per ltr..kuliko hiyo mara wengine 6 per ltr wengine 9 yan hamna jibu sahihi..
 
Back
Top Bottom