Hahahah sasa Nissan ni Luxury mkuu?Kila mtu ananunua Gari kwa mahitaji yake mwenyewe (wengine wanatafuta luxury nyie kwa ajili ya kubebea simenti/tofali) so usipangie watu wote wanunue Toyota wakati wao wanataka Luxury.
Ukilinganisha na mitulinga ya Toyota Bado Nissan Ni luxury.Hahahah sasa Nissan ni Luxury mkuu?
Dah sawa bwanaUkilinganisha na mitulinga ya Toyota Bado Nissan Ni luxury.
Gari ni Matunzo tu, Dualis ni kama Diamond -Platinumz alipokuwa Tandale na Diamond Platinumz anayeishi MADALE.Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita βdar sweetheartβ.. si nyingine bi ni βNissan Dualisβ.
Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.
Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?
Wengine hatuijui tuwekee kapicha
Tuache dharau kwa waalimu!Ni dualis, engine hazina shida, ulaji wa mafuta ni safi shida ya hii gari ni gari mayai haifai kuenda nayo rough road mara kwa mara. Na shida ni spare parts ni aghali mkuu itakufilisi..
Mara utasikia wish bone zimekufa ukiuliza bei ni mshahara wa mwalimu wa secondary,
Kwa ufupi chochote kitakachokufa kwenye nissan ujue ni bei aghali haswaaa...
Tuache dharau kwa waalimu!Ni dualis, engine hazina shida, ulaji wa mafuta ni safi shida ya hii gari ni gari mayai haifai kuenda nayo rough road mara kwa mara. Na shida ni spare parts ni aghali mkuu itakufilisi..
Mara utasikia wish bone zimekufa ukiuliza bei ni mshahara wa mwalimu wa secondary,
Kwa ufupi chochote kitakachokufa kwenye nissan ujue ni bei aghali haswaaa...
Toyota haihitaji kutunzwa?Sasa hapo huoni kasema ni mpaka uitunze vizuri, kinyume na hapo utalia, Toyota was made for Africa banah, gari ngumu balaa
Mkuu vanguard nayo vp?,kuna jamaa yangu anataka kuachana na rav4 old model aingie humoAmna gari mle
Vanguard gari ni chuma mzee, kamata dude usijiulize mara 2Mkuu vanguard nayo vp?,kuna jamaa yangu anataka kuachana na rav4 old model aingie humo
Sio mimi mkuu,jamaa yangu π€£Vanguard gari ni chuma mzee, kamata dude usijiulize mara 2
Hahaha! co asking...Toyota haihitaji kutunzwa?
Tuache dharau kwa waalimu!
Kale kabodi, injini kubwa kanakimbiaa mafuta kananusaGari ina cc kubwa ,body ndogo,yaani hata rav4 oldmodel imeizid kwa body, kwangu ni hicho tu sijaopenda,kwa body size ile walau ingekuwa na 1490-1690cc
Acha maneno mbofumbofu kwa xtrail. Imetulea tukiwa na hela za mawazo. SUV kwa Bei ya SedanSasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu πππ
Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta πππ
Dah Sasa itakuwaje, nikiona hizi comments za kuponda hilo gari najisikia vibaya kweli yani, ila linauzwa Bei mbaya kinoma, nitarudi kulitolea ushuhudaKigari kibaya hiki kina muonekano wa chura πππ
Unakinunua au ndo kiko majini sahizi πππDah Sasa itakuwaje, nikiona hizi comments za kuponda hilo gari najisikia vibaya kweli yani, ila linauzwa Bei mbaya kinoma, nitarudi kulitolea ushuhuda