Tunawapiga kwao.Halafu hakutoa kadi....amemuumiza kabisa
Kasie
Sissoko ni shida mpya kwa makipaleo sissoko hadi sasa kamfunika pogba kimaamuz
Hawa waafrika tunawafukuzisha kazi leo warudi kwao kutoka utumwaniWafaransa wanahali mbya hawakutegemea km mech itakuwa ngumu kiasi hiki.nawatakia ushndi sbb wanaweusi wengi kwnye kikosi chao
Mkuu sissoko yupo vizuri sana leompira ukiisha huyu Sissoko akapimwe sample ya damu,anaonekana ana nguvu za ziada leo!!!
Dah!
Ngoma ilikuwa imeisha hii,daaaghWakiendelea hivi nalala coz hamna nmna nyingine. Usingiziiiii