Yes euro moja tu ya 1984 ,nawashangaa mnapomlinganisha na Ronaldo aliyepata magoli tisa baada ya kujumlisha euro zaidi ya tatu
Wajerumani?
[emoji848]
Hakuna dua kwenye kabumbu.
Ni facts tu.
Huyo best loser hana chake mbele ya France.
Kasome habari za michel PlatinHamna m2 aliwai kuvuka goli5 kwa euro moja