Talent_2017
Member
- Aug 23, 2016
- 79
- 189
Heri ya krismasi ndugu zangu
Nina shida na pos/mashine za uwakala wa bank NMB na CRDB.
Nimefuatilia bank sasa hivi hawatoi hizi mashine, wanaunganisha kwa njia ya simu na sehemu nilipo wengi wana kadi.
Kama una ndugu yako ambaye anazo na hazitumii naomba niunganishe nae.
Nina shida na pos/mashine za uwakala wa bank NMB na CRDB.
Nimefuatilia bank sasa hivi hawatoi hizi mashine, wanaunganisha kwa njia ya simu na sehemu nilipo wengi wana kadi.
Kama una ndugu yako ambaye anazo na hazitumii naomba niunganishe nae.