Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
K
Sio kweli, nimemuona mpaka mchana huu baada ya. Bunge kubreak for lunchwakuu nasikia mwakyembe kukamatwa na PCCB muda mfupi kabla ya repoti ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu richmonduli kusomwa, ili asiwepo mjadalani
au ndo maana zito kawai kuhojiwa ili awe na uhakika wa kuwepo mjadalani?
am justi kyurias