Posho wanazojilipa Wakurugenzi na Mameneja huwa ni wizi mtupu! Bila kuzifuta posho hatutoboi

Tatizo huu mjadala wamejaa layman, eti posho ziondolewe hahaha hustle na wewe ufike levels hizo ambapo taaluma yako itaanza kukulipa kwa masaa. Mimi mwenyewe sijafika level hizo ila usiku na mchana nafanya juhudi nifikie huo uwezo ambapo taaluma yangu itaanza kujilipa yenyewe.
 
Hoja sio taaluma kuna watumishi wana masters Ila hawana hizo posho mfano mwalimu. Ila kuna watu wana certificate lakini wanakunja posho kibao sababu wako wizara ya fedha au BOT au TRA au hazinaa
 
Yaani posho ni nyingi kuliko mradi wenyewe
 
Wewe inaonekana huna elimu hata kidogo
Kama na wewe unajihesabu ni msomi basi elimu yako haina thamani bora wazazi wako wangenunua ngurue wafuge kuliko kupoteza hela kukusomesha huo ujinga bin sufuri!
 
Yaani mtu analipwa posho kwa ajili ya kuandaa ripoti ya kwenda bungeni? Kwanini alipwe wakati ndio kazi yake? Mama SSH hizo Posho zingepelekwa kwenda kuajiri watu wengine maana poshi zinazidi mishahara ya watumishi wa umma.
 
Ndio maana kila mtu anakimbilia bungeni aisee, ndani ya miaka mitano huu mzigo si unazidi 1 bi. kweli?
 
Hoja sio taaluma kuna watumishi wana masters Ila hawana hizo posho mfano mwalimu. Ila kuna watu wana certificate lakini wanakunja posho kibao sababu wako wizara ya fedha au BOT au TRA au hazinaa

Ualimu ni wito sasa unataka ulipwe sawa na Admininstrators? Kipindi wenzake wanachagua taaluma yeye hakuona hizo kozi za kusoma hadi akimimbilie ualimu ? Think big
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…