Possible military coup in Israel

Huwa inatokea unapochapwa mikofi mizito mizito baadae unageuka mbea , ukisikia tu yule mbabe wako nae kachapwa hata hujiulizi mara mbili unatoka shimoni kwako unaanza kupiga piga domo na wewe ndo hiki,

Baada ya Yahud kufanya Ubartazar kwa waarabu nao wamegeuka wambea wambea
 
Kwa akili zako mapinduzi hadi watu wapigane risasi!?
Kwa akili zako nakupa mfano mmoja. Mugabe alipinduliwa hakuna aliyepigwa risasi ila wanajeshi walio fanya hivyo inadhani walienda wakiwa wameshikilia miswaki?
Hapa ni guinea hakuna umwagikaji damu na raisi alisindikizwa kutoka ikulu. Lakini njema zilikuwa full armed
 
Umeona ufahari kutukana nchi yako eeenh?
 
Naona uko kwenye denial unayoitumia kama coping mechanism.

Nchi yoyote iliyopo kwenye vita lazima uchumi wake utadorora.

Lakini kudorora huko kwa uchumi haimaanishi, kwa mfano, per capita gdp ya Israel imepungua kutoka $52,000 na kifikia $1,300.

Israel ina demokrasia. Kuukataa ukweli huo ni sawa na kuamini yametokea mapinduzi ya kijeshi huko Tel Aviv:
 
Hezbullah ndio sababu ya yoteeeaya wanawapelekea motoo unaochukua uhai wao mashoga na vita umesikia wp aya sasa aibuu hiii wanajesh wanaandamana umeona wapi kwao kuolewa ndio jambo kubwa sio vita. NAWAKUMBUSHA Tramp atamtosa Netanyahu mtakumbuka aya maneno yangu. Netanyahu afanya alaka na mavitavita yake akiapishwa Tramp itakuwa 0 kwao Ili Israel isaidiwe Netenyahu asiwe kiongozi w Israel. Mnikumbushe ikiwa kinyume,
 
Hakuna kitu kama hicho kwenye mature democracy.

Just another fake news wishcasting.

The United States will never ever let its only reliable ally in the Middle East fall to a putsch.

And nor will Israelis, either.

Democracies za kweli huwa hazifanyi apartheid.

Two different laws for people living in the same country.

Kule kuna hata separate roads for people of different ethnicity and religion.
 
Democracies za kweli huwa hazifanyi apartheid.

Two different laws for people living in the same country.

Kule kuna hata separate roads for people of different ethnicity and religion.
I think you’re conflating apples to oranges here.
 
Usikute hiyo ni namna fulani ya kumtuliza Ayatollah. Maana unaambiwa lile kombora lao lenye injini 15 sasa linawasha ya 10.

Hadi kufikia wiki ijayo dude litakuwa limeruka angani kuelekea Tel Aviv kufanya yake.
 
Hawa wanapasha
 
Impossible!

Lakini, Gallant wanampendea nini? Mbona taharuki imekuwa kubwa? Niliona kwenye taarifa ya habari hadi wananchi waliandamana japo kwa uchache.
It is UNCONFIRMED report, so it is just speculation.
 
Kimeunana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…