Post SMS za vichekesho na utani hapa

Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi

Waislamu tunaswali ndugu yangu kabla ya kufanya Mapenzi. "" Ewe mola wetu, tuepeshe na shetani na tuepushe na Shetani katika kile utakacho turuzuku".
 
Waislamu tunaswali ndugu yangu kabla ya kufanya Mapenzi. "" Ewe mola wetu, tuepeshe na shetani na tuepushe na Shetani katika kile utakacho turuzuku".

Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu ... .... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa
 
Hata uwe mlevi vipi, utakunywa gongo zote ila sio gongo la mboto
 
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa

Yamekua hayo! Chuki binafsi tu!
 
welcome to 2014 globalized world where by phones- wireless, cooking-fireless, car- keyless, youth-jobless,Girls- virginless,parents-shameless,politics- hopeless, Relationship- trustless, Attitude -careless,feeling heartless, education- valuelessdebate- pointless.
BE CARW NOIT BEING SPEEEchless
 
Hata uwe na meno marefu kama ngiri huwezi tafuna maji.
 
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa

0 brain...a.k.a division 5
 
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa

Huu sio ustaarabu. ni kejeli kwa waislamu na pia unaleta machukizo ya kidini. thread hii haikuwa kwa lengo hilo. badirika. hamkawii kusema waislamu ni wakorofi
 
Huu sio ustaarabu. ni kejeli kwa waislamu na pia unaleta machukizo ya kidini. thread hii haikuwa kwa lengo hilo. badirika. hamkawii kusema waislamu ni wakorofi
Pengine wewe si mfuatiliaji wa haya makitu... nadhani ukifuatilia ndio utakuwa judge mzuri... wenzio wana maneno machafu balaa.... na upande wao wanajisifia sasa kwakuwa wengine tunaufahamu na hizi dini tokea zilivyoanza na vitu zinavyokataza hatuwezi kunyamaza.... kwakuwa ni evidence zipo haziwezi kuwa machukizo ni ukweli ulivyo na haubadiliki na sie wala hatuongezi kitu tunanukuu tu pole sana.... dini si mambo ya kificho kama wengine wanavyofanya... na kwa sababu ya uficho wanaogutuka baadae hupoteza kuamini na hicho ndicho kinakuwa machukizo kwa kusababisha waumini wasepe... na haijaanza leo tokea enzi na enzi hizo..... Ni vizuri kuelewa hivyo hutodanganywa wala kuacha wengine wadanganywe.... humu tunawekana sawa tu... ila inategemea utaingiaje.... ukienda ovyo unajibiwa ovyo ukija vizuri unajibiwa vizuri... ndio miafrica tulivyo kasema Nyani Ngabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…