Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
hahhhhhaaaaa mbavu zangu miePateni picha mnaamka asubuhi mnaangalia nje mnakuta hakupo!
Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi
kupendwa usipo pendwa ni sawa na kusubiri mtumbwi air pot
hayo mafurko sasa au hata kiangaz?/kuna baadhi ya airport mtumbwi unafika...
Mfano, airport ya MWANZA na BUKOBA.
Ukistaajabu viuno vya snura utaviona vya Shilole!hayo mafurko sasa au hata kiangaz?/
Waislamu tunaswali ndugu yangu kabla ya kufanya Mapenzi. "" Ewe mola wetu, tuepeshe na shetani na tuepushe na Shetani katika kile utakacho turuzuku".
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa
Hata dobi anapiga pasi ila hawezi pata namber bacerlona
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa
Nyie Mnaaminika kwa hayo makitu hata peponi ndicho mlichoahidiwa... Uasherati.... kama mmeruhusiwa wake wanne na mtume alikuwa nao zaidi si jambo la kushangaza kabisa
Na wewe ndie Mulugo0 brain...a.k.a division 5
Pengine wewe si mfuatiliaji wa haya makitu... nadhani ukifuatilia ndio utakuwa judge mzuri... wenzio wana maneno machafu balaa.... na upande wao wanajisifia sasa kwakuwa wengine tunaufahamu na hizi dini tokea zilivyoanza na vitu zinavyokataza hatuwezi kunyamaza.... kwakuwa ni evidence zipo haziwezi kuwa machukizo ni ukweli ulivyo na haubadiliki na sie wala hatuongezi kitu tunanukuu tu pole sana.... dini si mambo ya kificho kama wengine wanavyofanya... na kwa sababu ya uficho wanaogutuka baadae hupoteza kuamini na hicho ndicho kinakuwa machukizo kwa kusababisha waumini wasepe... na haijaanza leo tokea enzi na enzi hizo..... Ni vizuri kuelewa hivyo hutodanganywa wala kuacha wengine wadanganywe.... humu tunawekana sawa tu... ila inategemea utaingiaje.... ukienda ovyo unajibiwa ovyo ukija vizuri unajibiwa vizuri... ndio miafrica tulivyo kasema Nyani NgabuHuu sio ustaarabu. ni kejeli kwa waislamu na pia unaleta machukizo ya kidini. thread hii haikuwa kwa lengo hilo. badirika. hamkawii kusema waislamu ni wakorofi